Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Me.Kupenda??
Who does that shit?
Major daaah rank kisikiA major problem today: A world is full of spineless and thirsty beta males.
Acha kabisa maneno yako hayo kila kitu kina umuhimu wakeMama yangu anatosha nafasi imejaa
Ndugu punguza ukali wa manenoUKITAKA KUTOMBWA INAKUWAJE NDUGU MTANZANIA?
ninachooamini unaweza fika hiyo 100% especially kwa wanawake,, ila my take is, akianza kuzingua jaribu kuenda nae taratibu huku ukipunguza asilimia ulizoweka hadi ifike at least 50%.. ukiona inazidi kupungua chini ya 50 ujue kuna anguko liko mbeleniUsimpende mtu mpaka 100% ni hatari kwa uhai.
🤣 Watu mnambinu..ninachooamini unaweza fika hiyo 100% especially kwa wanawake,, ila my take is, akianza kuzingua jaribu kuenda nae taratibu huku ukipunguza asilimia ulizoweka hadi ifike at least 50%.. ukiona inazidi kupungua chini ya 50 ujue kuna anguko liko mbeleni
ukianguka ukiwa gorofa ya kwanza ni tofauti na kuanguka ukiwa gorofa ya 10...tafakari na uchukue hatua mapema.
haya maisha bila mbinu hutoboi...muhimu ziwe mbinu ambazo hazimuumizi mwenzako🤣 Watu mnambinu..
niliqahi kushauriwa kuhusu mtu hiv kuwa huyu hakupendi nikajiona mimi ndio jetlii maisha nimeyaweza kilichonitokea [emoji24][emoji24]Hayana mwalimu wala mshauri.