Kupenda kupitiliza ni hatari ya kujitakia

Kupenda kupitiliza ni hatari ya kujitakia

Usimpende mtu mpaka 100% ni hatari kwa uhai.
ninachooamini unaweza fika hiyo 100% especially kwa wanawake,, ila my take is, akianza kuzingua jaribu kuenda nae taratibu huku ukipunguza asilimia ulizoweka hadi ifike at least 50%.. ukiona inazidi kupungua chini ya 50 ujue kuna anguko liko mbeleni

ukianguka ukiwa gorofa ya kwanza ni tofauti na kuanguka ukiwa gorofa ya 10...tafakari na uchukue hatua mapema.
 
ninachooamini unaweza fika hiyo 100% especially kwa wanawake,, ila my take is, akianza kuzingua jaribu kuenda nae taratibu huku ukipunguza asilimia ulizoweka hadi ifike at least 50%.. ukiona inazidi kupungua chini ya 50 ujue kuna anguko liko mbeleni

ukianguka ukiwa gorofa ya kwanza ni tofauti na kuanguka ukiwa gorofa ya 10...tafakari na uchukue hatua mapema.
🤣 Watu mnambinu..
 
Back
Top Bottom