Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tayar kishalia hukoHabari kwa wanajukwaa wote. Tukiwa tunaugulia matokeo yaliyopatikana katika mchezo wa mpira wa miguu kati ya Tanzania (Taifa Stars) na Zambia tuliangazie hili jambo kwa ufupi kidogo.
Japo wengi watabisha ila ukweli ni kwamba moyo unapenda mara moja tu (tena humpenda mtu fulani tu), baada ya hapo hata ukimpata mtu mwingine na mkaanzisha mahusiano ambayo yanaonekana kuwa yenye afya mnaishia kuigiziana tu.
Kuna watu wengi wapo katika mahusiano lakini karibia robo tatu ya mioyo yao imegoma kutoka kwa watu waliowapenda kwa dhati hapo awali na wanajikuta wanavumilia tu ili kusongesha maisha.
Ts not about sex. Ts about responsibilities plus utii wa kiapo plus hofu ya MUNGU.Kwa msichana, mtu aliyeondoa usichana wake ndiye mpenzi wake wa dhati. Hata akiolewa na mtu mwingine pendo lake bado lipo kwa yule wa mwanzo. Ndio maana kuna usemi kuwa "wanaume wengi tunaoa wake za watu" kama hukumkuta bikira basi basi ujue sio mke wako.
Hii sio kweli mkuu.Kwa msichana, mtu aliyeondoa usichana wake ndiye mpenzi wake wa dhati. Hata akiolewa na mtu mwingine pendo lake bado lipo kwa yule wa mwanzo. Ndio maana kuna usemi kuwa "wanaume wengi tunaoa wake za watu" kama hukumkuta bikira basi basi ujue sio mke wako.
Hujui chochote .mademu weng wanatolewa bikra sabab wamechoka kuwa nayo na wanataka kuanza mizagamuo haraka iwezekanavyo..so weng wanatolewa na random people..Kwa msichana, mtu aliyeondoa usichana wake ndiye mpenzi wake wa dhati. Hata akiolewa na mtu mwingine pendo lake bado lipo kwa yule wa mwanzo. Ndio maana kuna usemi kuwa "wanaume wengi tunaoa wake za watu" kama hukumkuta bikira basi basi ujue sio mke wako.
Nakataa,mpenz wa mwanzo mkishaachana na habari yake inaisha....ex ni ex tu...hakuna cha baba mtoto au mtoa damu...wengine walibakwa na wajomba zao na kuondolewa bikra...msikariri maisha....MTU sahihi ni yule uliyenae mpaka muda huu ninaondika,mkiachana imeisha hiyoKwa msichana, mtu aliyeondoa usichana wake ndiye mpenzi wake wa dhati. Hata akiolewa na mtu mwingine pendo lake bado lipo kwa yule wa mwanzo. Ndio maana kuna usemi kuwa "wanaume wengi tunaoa wake za watu" kama hukumkuta bikira basi basi ujue sio mke wako.
Naunga mkono hojaNakataa,mpenz wa mwanzo mkishaachana na habari yake inaisha....ex ni ex tu...hakuna cha baba mtoto au mtoa damu...wengine walibakwa na wajomba zao na kuondolewa bikra...msikariri maisha....MTU sahihi ni yule uliyenae mpaka muda huu ninaondika,mkiachana imeisha hiyo
Hii imeendaa ...hakuna kuendekeza ujinga....kwa kipi cha ziada.Ndiyo shida ya kuwa mtumwa wa mwili wako mwenyewe....ubongo usikiliza mwili utakacho....Naunga mkono hoja
nimelia sana mkuuKupenda ni mara moja tu
Hii weekend unalewa pombe gani hiyo, kila nyuzi unalia wewe tu!nimelia sana mkuu