Kupenda sana Ngono kwanimaliza, Madokta nisaidieni

Vipi unafikishwa?kama hufikishwi ni PM nkupe maelekezo mana inawezekana wanakuachia njiani

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Asa hyo ndio dawa jamani?
mwekundu unanitisha.
 
Last edited by a moderator:
Mndele una drama wewe!
Muambie Yesu ni jibu. Akaombewe.
Alternatively achukue pembe la ng'ombe ajifunge kiunoni. BAK malizia ile dose ya kwato.
 
Last edited by a moderator:
Mndele una drama wewe!
Muambie Yesu ni jibu. Akaombewe.
Alternatively achukue pembe la ng'ombe ajifunge kiunoni. BAK malizia ile dose ya kwato.

Mwe Mndele Babako akijua unatumia nguvu za giza utajaenda fungwa.
King'asti, ule ugonjwa wangu wa aibu haujapona, yaja kuibuka mengine tena.
Ndio BAK na wenzie wanipa ushauri huku.
 
Last edited by a moderator:
Asante kwa niaba yake.
Ila yeye ni kwamba huwa kama kuna amri itokayo ndani ya moyo wake ambayo hupelekea kunyegeka na kuwaza ngono 24/7.
Au karogwa!

Yaani ngono 24/7 hana kazi? yeye ni kumega wanawake tu! ingekuwa tamaa tu ningemshauri awe bussy na kazi au kufanya mazoezi sana ingemsaidia kupunguza muda wa kuwaza ngono na kuwa na tamaa.lakini umesema huwa anasikia kuna amri toka ndani hilo litakuwa ni pepo la ngono hapo ni kwenda kuombewa.pole ni wanawake anaowapa dozi loh!.
 

Asante.
 
:doh::doh::doh:Nilijua ni wewe nilikuwa nakuaandalia tiba sasa hivi!:A S wink:
 
Asante kwa niaba yake.
Ila yeye ni kwamba huwa kama kuna amri itokayo ndani ya moyo wake ambayo hupelekea kunyegeka na kuwaza ngono 24/7.
Au karogwa!

Si kurogwa na wanawake wengi ndani ya ndoa au mahusiano wanatamani kuwa na hamu kubwa kama hiyo ili waweze kujirusha kwa raha zao na wapenzi wao, ila hapa tatizo ni hilo la kuruka huku na kule kila baada ya muda mfupi.

Eti ee BAK, Basi mie nikajua nisharogwa.
Ila hapo unavosema ni kweli, maana huwa kwenye yale masuala yetu,naweza kesha BAK kwa jinsi nilivo na nguvu.

Lugha gongana bana hapa Madam B ufafanuzi plz
 
Last edited by a moderator:
:doh::doh::doh:Nilijua ni wewe nilikuwa nakuaandalia tiba sasa hivi!:A S wink:

Jamani KakaKiiza.
We niambie tu, ili hata huko mbeleni nikipata tatizo hilo nijue tiba yake.
 
Last edited by a moderator:

Mmmmmmmmmh!
 

Rafiki na wewe ni mtabibu?
 
Reactions: BAK
duh... pole zake, nenda kapate tiba...
 
Hahahahaha
Madame B nkafkiri ni wew mama...hata sijui ni ugonjwa au hamu tu...watakusaidia
 
Last edited by a moderator:
simple! saa zingine si ajichue tu apone?lol!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…