Kupenda sana Ngono kwanimaliza, Madokta nisaidieni

Kupenda sana Ngono kwanimaliza, Madokta nisaidieni

Dunia ina mambo, kuna wanawake hata utomase mpaka kona zote hawaamshi kabisa gari, au akiamsha kituo kimoja tu anaweka nukta!! Wanawake wengine ndiyo kama huyu rafiki wa Madame B. Sasa hawa naona wamejaliwa maana ni bora uwe nazo hamu kuliko kuzikosa au kuwa nazo za kiasi mno. Cold Vs hot women likewise to men!! Ukipata moderate ni wachache but too exremes nazo ni mbaya. Ee Mola saidia mahusiano na ndoa hizi.
 
Mndele una drama wewe!
Muambie Yesu ni jibu. Akaombewe.
Alternatively achukue pembe la ng'ombe ajifunge kiunoni. BAK malizia ile dose ya kwato.

Ni kweli..
''njoo ufanyiwe maombi ndugu kwa jina la Yesu..ukiombewa tatizo lako ni dogo'' by Bon Mwaitege.
 
Last edited by a moderator:
lol! Pamoja na kuwa si fani yangu lakini ushauri niliokupa hautakuwa na tofauti kubwa na daktari wa ukweli katika eneo hilo la kula uroda.

Haya BAK, nimekuelewa sana.
 
Last edited by a moderator:
Asante kwa niaba yake.
Ila yeye ni kwamba huwa kama kuna amri itokayo ndani ya moyo wake ambayo hupelekea kunyegeka na kuwaza ngono 24/7.
Au karogwa![/QUOTE
.....Ameolewa?.......by the way hizo zinaweza kuwa ni roho ndio zinamfanya awe hivyo...cha msingi hapo ni maombezi....
 
Back
Top Bottom