Wewe hujui mpira unajua Kushabikia Simba Ila mpira Hujui.
Goli la kwanza la Simba ni Counter attack ( kujibu shambulizi kwa Kasi)
1. MAGOLi yote ni uzembe WA KIPA.
Simba Haina KIPA.
ALIYEMSAJILI AYOUB NI TAHIRA NA HANA AKILI KABISA KAMA WEWE.
2. Inonga Ametoka majeruhi na AMEUMIA mara 3 ndani ya Muda Mfupi.
MGUU, mkono, MGUU Tena.
Fitness level yake (utimamamu WA mwili) Lazima iwe chini.
3. Simba Haina kiungo No 6 mkabaji Baada ya kwenda Kusajili Kiungo Mkabaji wakaenda kumleta Miquisson.
Safu ya Ulinzi inafikika Kirahisi sana na Itafungwa MAGOLi kila siku.
4. JARIBU KUJIFUNZA MPIRA SIO KUWA SHABIKI MAKERERE
SHENZIIIIII