Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
- #41
Njoo tutafute watoto basi 😀mti uliokatazwa sio
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njoo tutafute watoto basi 😀mti uliokatazwa sio
unajikuta hemed sio🤣 kuzalisha kila mtuNjoo tutafute watoto basi 😀
Mapori ni mengi, yanahitaji watuunajikuta hemed sio🤣 kuzalisha kila mtu
ndo wewe umepewa dhamana sasaMapori ni mengi, yanahitaji watu
Tunafanya uzalendo tundo wewe umepewa dhamana sasa
jitahid ufyatulishe wa kiume zaidi ili ukoo wako ueneeTunafanya uzalendo tu
Tufanyeje sasa ili wapatikane wakiume 😀jitahid ufyatulishe wa kiume zaidi ili ukoo wako uenee
kuna wataalam uchwala fb na insta huko kaulizeTufanyeje sasa ili wapatikane wakiume 😀
Nakuachia wewe ujifunze, tukionana ni vitendo tu 😀kuna wataalam uchwala fb na insta huko kaulize
Nakuona mtaalamu na chupa kubwa ya lubisi pembeniBed to Bed midfielder’s NGONO KANTE
Mxiuuu,, mpuuz weye 😆😆Nakuachia wewe ujifunze, tukionana ni vitendo tu 😀
Nataka nikuone ukichezaMxiuuu,, mpuuz weye 😆😆

Nipo hapa napambana na supu ya mkia
😂😂Nipo zangu nyumbani napangilia mambo yangu ya kila siku, mara ghafla naona simu inaita; kuitazama, ni namba ya mama kijacho (mchepuko).
Baada ya kupokea, mazungumzo yakawa hivi:-
Mimi: halo
Yeye: mambo vipi bebii
Mimi: Niko powa, mambo yakoje huko?
Yeye: Huku mabaya, sijisikii vizuri, nataka tutoke wote
Mimi:Twende wapi?
Yeye: Popote tu utakapotaka
Mimi: Sawa, saa 3 usiku nitakucheki
Yeye: asante mme wangu nakupenda sana
Mimi: Powa,baadaye
Hapa nilipo najiandaa kwa mtoko; msiopendwa, endeleeni kuchezea keyboard.
Labda unfundsheNataka nikuone ukicheza![]()
Nlivoona notification yako 'quoted' nliclick chapu nlivoona hilo neno la mwisho nkaishiwa maji mwilini🤣🤣🤣🤣🤣
Unataka kusemaje totoo?
Njoo ndani ukinyata nyataLabda unfundshe
🤣🤣🙌🏾🏃🏾♀️Njoo ndani ukinyata nyata