Wanawake wenzetu wanatuwakilisha vyemaLeo ni siku ya wanaume kufunguka
Uzi wa pili huu....bado hamjasema π
Wanawake wenzetu washikilie hapo hapo ππWanawake wenzetu wanatuwakilisha vyema
Hii kazi ngumu.Huyo ni mrembo ambaye anapenda attention kila mara,,wale wa baby umekula,,umeshaoga,,,unafanya nini sasa hivi?
Unalo hilo,,pambana nalo
Sio ndogo chiefHii kazi ngumu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Leo ni siku ya wanaume kufunguka
Uzi wa pili huu....bado hamjasema [emoji23]
Yan hajakutana na mm natamni had nijue ukilala uniambie umegeuka upande ganiπππEm muambie aache kukusumbua, wee uko buzzy na mambo yako binafsi. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Km hutaki si uwe single, kwann uhangaike hivyoo?
Siku hizi siwezi haya mambo ya umekula n.k sijui ndio ukubwa mpaka najishtukia.Huyo ni mrembo ambaye anapenda attention kila mara,,wale wa baby umekula,,umeshaoga,,,unafanya nini sasa hivi?
Unalo hilo,,pambana nalo
π eeh! Hii kali, baby umevutaje hewa πYan hajakutana na mm natamni had nijue ukilala uniambie umegeuka upande ganiπππ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwahiyo akijipata kibao kinageukaMimi sio mganga ila najua huyo manzi yako n jobless
Ukiwa na kazi huwez ht kushika simu kusumbua watu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kwahiyo akijipata kibao kinageuka