Kupendwa sana nako ni kero

Kupendwa sana nako ni kero

Umeonaee hajakutana nasisi, lazima aniambie alipo, mbele yake anaona nini. Akiamka aliota ndoto gani. Muda huo anawaza nini. Hawa hawajui mapenzi hawa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mnanichekeshaa hatariiiii
 
Kuna kipindi flani, mtoto flani hv kutoka Mwanza alidata kichiz yn ilkuwa kila muda ni cm na kujua npo wap nafany nn hadi nkaanza kuona ni kero, Leo nna confirm nmemiss sana zile kero zake ,hapa nlpo sshv sio size yangu kbs nispomtafuta hanitafuti.

Nkimpata wakunpenda tena wallah sitamuangusha I'll love her to the fully tena awe msumbufu namna hiyo weeh ntakuwa mtu mwenye furaha sana hapa Dodoma.
Kimekulambaaaa!!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna kipindi flani, mtoto flani hv kutoka Mwanza alidata kichiz yn ilkuwa kila muda ni cm na kujua npo wap nafany nn hadi nkaanza kuona ni kero, Leo nna confirm nmemiss sana zile kero zake ,hapa nlpo sshv sio size yangu kbs nispomtafuta hanitafuti.

Nkimpata wakunpenda tena wallah sitamuangusha I'll love her to the fully tena awe msumbufu namna hiyo weeh ntakuwa mtu mwenye furaha sana hapa Dodoma.
May be opportunity will come twice to you, goodluck. Ingawa kadri unavyokua ki umri ndo chance yapungua , unakutana na wachumia tumbo tu
 
Back
Top Bottom