Kupendwa sana nako ni kero

Kupendwa sana nako ni kero

Mbona yeye Lucas anaye mke na anaendelea kughilibu na maneno yake ya kinafiki. Sikujua kumbe na wewe unatembelea mitaa hii,karibu sana kwetu.
MMU ndio mitaa yangu na mimi nimeshangaa kukuona
Lucas hana mke acha uchonganishi
 
kuna mama moja uwa nailamba block siku moja moja hili ni focus unaweza usipokee simu uko buzy kitakachofata hapa ni calls 20+ na message ka mvua mbaka upendo unaishaa
 
Hii "kmmk" haikuwepo kwenye silabasi yetu kwenye sayansi ya kijamii kule Cuba. Waeza poteza muda wako kidogo unifafanulie kabla sijaenda kutoa sadaka???
hicho ni kitenzi kipya kiwakilishi cha mkazio wa neno ni kitu kipya
 
hicho ni kitenzi kipya kiwakilishi cha mkazio wa neno ni kitu kipya
Basi ntawasiliana na BAKITA waliweke kwenye TUKI. Ila naona kama neno hamasishi... Nimejikuta baioloji yangu imefanya fizikia ya kitu yabisi chini ya kitovu
 
kama hujamuelewa mtoa mada kaangalie hii series
MV5BZmQ0NDE5NjYtMGU4OS00NGMwLWJmOGYtZjVmYTFhMzA3ZGQ2XkEyXkFqcGdeQXVyMDc5ODIzMw@@._V1_FMjpg_UX1...jpg
 
Yaani unapendwa eeh, kila saa mtu anahisi wewe hurudishi upendo alionao yeye kwako, mara aone wewe una wanawake wengine duh.

Kupendana kuwe kwa kiasi, vikizidi ni kero, kama hujawahi kupendwa sana huwezi ukaelewa hapa. Kuna muda tunahidtaji ku focus na mambo mengine sio kila saa hivyo tu.
Napitia hali kama yako, Kwakweli ni changamoto
 
Yaani unapendwa eeh, kila saa mtu anahisi wewe hurudishi upendo alionao yeye kwako, mara aone wewe una wanawake wengine duh.

Kupendana kuwe kwa kiasi, vikizidi ni kero, kama hujawahi kupendwa sana huwezi ukaelewa hapa. Kuna muda tunahidtaji ku focus na mambo mengine sio kila saa hivyo tu.
Kweli hatari watu mnalalamika kupendwa tena wakati wengine never been loved kabisa
 
Back
Top Bottom