Kupendwa sana nako ni kero

Kupendwa sana nako ni kero

Yaani unapendwa eeh, kila saa mtu anahisi wewe hurudishi upendo alionao yeye kwako, mara aone wewe una wanawake wengine duh.

Kupendana kuwe kwa kiasi, vikizidi ni kero, kama hujawahi kupendwa sana huwezi ukaelewa hapa. Kuna muda tunahidtaji ku focus na mambo mengine sio kila saa hivyo tu.
Kuna sehemu nimejikanyaga hadi najuta, yaani mtu anakuwa kama mimi ndiye nimembikiri kumbe nimemkuta ni single mother niltaka kutoa kutu tu yeye ndiyo amekolea hadi kero. Nafikiria kumpiga tukio ila namuonea huruma atakavyopiga mayowe.
 
Kuna sehemu nimejikanyaga hadi najuta, yaani mtu anakuwa kama mimi ndiye nimembikiri kumbe nimemkuta ni single mother niltaka kutoa kutu tu yeye ndiyo amekolea hadi kero. Nafikiria kumpiga tukio ila namuonea huruma atakavyopiga mayowe.
Hii ishu niko nayo muda huu aisee, Mm nilitaka kupiga then nikimbie ila ndo mambo yamekolea afu n mtamu knoma 😂
 
WhatsApp Image 2024-05-21 at 12.54.17.jpeg
 
Kuna sehemu nimejikanyaga hadi najuta, yaani mtu anakuwa kama mimi ndiye nimembikiri kumbe nimemkuta ni single mother niltaka kutoa kutu tu yeye ndiyo amekolea hadi kero. Nafikiria kumpiga tukio ila namuonea huruma atakavyopiga mayowe.
Achana na hao matapeli single moms
 
Kuna kipindi flani, mtoto flani hv kutoka Mwanza alidata kichiz yn ilkuwa kila muda ni cm na kujua npo wap nafany nn hadi nkaanza kuona ni kero, Leo nna confirm nmemiss sana zile kero zake ,hapa nlpo sshv sio size yangu kbs nispomtafuta hanitafuti.

Nkimpata wakunpenda tena wallah sitamuangusha I'll love her to the fully tena awe msumbufu namna hiyo weeh ntakuwa mtu mwenye furaha sana hapa Dodoma.
 
Kuna kipindi flani, mtoto flani hv kutoka Mwanza alidata kichiz yn ilkuwa kila muda ni cm na kujua npo wap nafany nn hadi nkaanza kuona ni kero, Leo nna confirm nmemiss sana zile kero zake ,hapa nlpo sshv sio size yangu kbs nispomtafuta hanitafuti.

Nkimpata wakunpenda tena wallah sitamuangusha I'll love her to the fully tena awe msumbufu namna hiyo weeh ntakuwa mtu mwenye furaha sana hapa Dodoma.

Mbona wapo wengi tu mkuu,nenda kwa single mother utapendwa hadi ushangae ila utapendwa wewe pamoja na baby daddy
 
Yaani unapendwa eeh, kila saa mtu anahisi wewe hurudishi upendo alionao yeye kwako, mara aone wewe una wanawake wengine duh.

Kupendana kuwe kwa kiasi, vikizidi ni kero, kama hujawahi kupendwa sana huwezi ukaelewa hapa. Kuna muda tunahidtaji ku focus na mambo mengine sio kila saa hivyo tu.
Ww uko kama mm, kuna unawaza hela na maisha ya baadae. Mwenzio anaona huna upendo kwake. Kwangu ni kero kabisa
 
Back
Top Bottom