Ms R
JF-Expert Member
- Jan 19, 2023
- 8,853
- 19,587
Sio mahali husika π€£π€£ππππΎππΎππΎββοΈNaomba nijaribu π
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio mahali husika π€£π€£ππππΎππΎππΎββοΈNaomba nijaribu π
Tatizo utam kunogaπHuyu hapana aisee, Mm namtaka mpya ambaye hajawahi kwenda leba π
Hilo tatizo kubwa sana aisee ila itabidi tuu aisee πTatizo utam kunogaπ
πSio mahali husika π€£π€£ππππΎππΎππΎββοΈ
πππKuna dadaang ananiambiaga yakikushinda Lia Yani angusha kilio hasa ππππππ
sijui ni kwanini tu nimetamani kulia kwa uchungu mkuu..!!
Nafikir akikaa pekeyake anasemaga hiki ni nnπππWee aunt em sema kweliiii? Ko ankoliii unamsumbua sanaaa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
πππYani dada acha tuUmeonaee hajakutana nasisi, lazima aniambie alipo, mbele yake anaona nini. Akiamka aliota ndoto gani. Muda huo anawaza nini. Hawa hawajui mapenzi hawa π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Baby umekula Nini na wapiπ eeh! Hii kali, baby umevutaje hewa π
ππππKha
Hisia bhana kunavitu havielezeki jamniπππApunguze kunipenda, nikiwa namla anaanza kulia nilikuwa wapi siku zote kwa huu utamu. Mpaka unawaza hizi ni hisia au utapeli?
Kila Muda anataka Dudu nishapitia sana hio unaweza ukapotea ukienda kule PanganiYaani unapendwa eeh, kila saa mtu anahisi wewe hurudishi upendo alionao yeye kwako, mara aone wewe una wanawake wengine duh.
Kupendana kuwe kwa kiasi, vikizidi ni kero, kama hujawahi kupendwa sana huwezi ukaelewa hapa. Kuna muda tunahidtaji ku focus na mambo mengine sio kila saa hivyo tu.
Hisia wapi ndonga tu imekolea motoHisia bhana kunavitu havielezeki jamniπππ
Umeyavulia nguo sharti uyaoge...Kuna sehemu nimejikanyaga hadi najuta, yaani mtu anakuwa kama mimi ndiye nimembikiri kumbe nimemkuta ni single mother niltaka kutoa kutu tu yeye ndiyo amekolea hadi kero. Nafikiria kumpiga tukio ila namuonea huruma atakavyopiga mayowe.
ππ ndio kero zenyewe iziBaby umekula Nini na wapi
Umeshiba eeh πππ
Kula bas Tena kidogo
utasema nilikuwepo.wakati anazaliwa πππ
Sijui huwa hayo mahaba yanapoteleaga wapiAu nikupikie nini leo? Sijawahi kuchagua chakula chake lakini swali hilo nina miaka imepita halitoki nyumbani kwangu.
Niambie kama naibiwaHisia bhana kunavitu havielezeki jamniπππ
Mbona yeye Lucas anaye mke na anaendelea kughilibu na maneno yake ya kinafiki. Sikujua kumbe na wewe unatembelea mitaa hii,karibu sana kwetu.Kumbe una mke sasa kwanini hukitulizi? Lucas kumbe anasemaga ukweli