Kupendwa sana nako ni kero

Kupendwa sana nako ni kero

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
sijui ni kwanini tu nimetamani kulia kwa uchungu mkuu..!!
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Kuna dadaang ananiambiaga yakikushinda Lia Yani angusha kilio hasa πŸ˜€πŸ˜€
 
Umeonaee hajakutana nasisi, lazima aniambie alipo, mbele yake anaona nini. Akiamka aliota ndoto gani. Muda huo anawaza nini. Hawa hawajui mapenzi hawa 🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Yani dada acha tu
Nimecheka Yani kwakweli Kuna sisi wasumbufu Hadi tunajua kuwa Hawa viumbe wanajuta kutujuaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Yaani unapendwa eeh, kila saa mtu anahisi wewe hurudishi upendo alionao yeye kwako, mara aone wewe una wanawake wengine duh.

Kupendana kuwe kwa kiasi, vikizidi ni kero, kama hujawahi kupendwa sana huwezi ukaelewa hapa. Kuna muda tunahidtaji ku focus na mambo mengine sio kila saa hivyo tu.
Kila Muda anataka Dudu nishapitia sana hio unaweza ukapotea ukienda kule Pangani
 
Kumbe una mke sasa kwanini hukitulizi? Lucas kumbe anasemaga ukweli
Mbona yeye Lucas anaye mke na anaendelea kughilibu na maneno yake ya kinafiki. Sikujua kumbe na wewe unatembelea mitaa hii,karibu sana kwetu.
 
Back
Top Bottom