Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Ni makele tuUkiwauliza watakuona mpinga kristo na una pepo mchafuππ
Na kitu gani?Jiandae π
Wajinga hawaNgoja waje kusema shindwa pepo.
Kelele zimekuwa nyingi sana hasa wakati wa toeni ndugu, toeni sadaka.
Wakija wakemea pepo πNa kitu gani?
Hebu kemeaWakija wakemea pepo π
Siku nitakayokuwa waziri na Mume wangu awe Rais πHuu ujinga ufikie mahali tuukomeshe
Kwanini usiwe wewe rais na mimi niwe waziri?Siku nitakayokuwa waziri na Mume wangu awe Rais π
Otherwise tumuombe PK aje aongoze kwa miaka angalau mitano, ila kwa hii CCM sahau rafiki yangu.
Wanakera sana, mwaka juzi nyumba niliyokuwa nakaa alihamia mchungaji na kispika kile cha kubebeka ikawa tafrani usiku na asubuhi, kelele muda wote tukamwambia mwenye nyumba akasema tuna mapepo ila mwishowe vita ilikuwa kali akahama.Wajinga hawa
Eti wamejiapiza Rais mwanamke never again πKwanini usiwe wewe rais na mimi niwe waziri?
KuJiandae π
Hayo ndiyo machaka ya wanasiasa, hawawezi kuwapiga marufuku kisha kesho wanyimwe majukwaa ya kujitafutia kura.Hii kero ya kupigiwa kelele na makanisa yawakeshaji inatunyima usingizi.
'Sirikali' mliangalie hili jambo. Tumechokaaa
Na misikiti nayo kero sana. Tunahitaji utulivu kwa sasa. Mtu anapiga azana kama amegombana na mtaa mzima. Ukienda kwa wenye dini mambo ni tofauti kabisa.Hii kero ya kupigiwa kelele na makanisa yawakeshaji inatunyima usingizi.
'Sirikali' mliangalie hili jambo. Tumechokaaa
Adhana haikeshi...Na wale wa makobazi waache kupiga adhana .... Kila mtu si anajua muda wa Swala!??
TumegomaEti wamejiapiza Rais mwanamke never again π