Chipukizi
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 4,409
- 6,773
Hao ni Matapeli! Wakristo wa Kweli Yesu alishawaambia hivi :Hii kero ya kupigiwa kelele na makanisa yawakeshaji inatunyima usingizi.
'Sirikali' mliangalie hili jambo. Tumechokaaa
Mt 6:7 SUV
BHNSUVNenoSRUVNanyi mkiwa katika kusali, msipayuke-payuke, kama watu wa mataifa; maana wao hudhani ya kuwa watasikiwa kwa sababu ya maneno yao kuwa mengi.Na ni Kosa Kusheria kusali au kucheza mziki kwa sauti kubwa. So mna haki ya kuwashtaki .https://www.jamiiforums.com/threads/nemc-msako-wa-wapiga-kelele-uko-pale-pale.2101630/