Ubena Zomozi
JF-Expert Member
- Jun 19, 2022
- 1,608
- 1,286
Huo ndio upako sasa kama hujui
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ntakuponza uwe raia nambari wani tz shemeji 😅Shem utaniponza! 😀
Yesu atakuwa anapiga misele mitaa yenu. Mtoe na moko becha asije kukusahau huko kwaoUmenikumbusha kuna kanisa hapa karibu yangu mkesha ni kila jumamosi yaan show show kuanzia asubuhi mpaka saa 8 usiku kuelekea 9 ndio wanafunga kanisa sio mchezo kabisa kesho hapa maeneo Yesu anakua anapiga misele Muda wote ni Yesu Yesu Muda wote
Azana dakika moja ishaisha ila nyie wajinga dahNa misikiti nayo kero sana. Tunahitaji utulivu kwa sasa. Mtu anapiga azana kama amegombana na mtaa mzima. Ukienda kwa wenye dini mambo ni tofauti kabisa.
Shem kwangu auShem utaniponza! 😀
Unapakwa nini?Huo ndio upako sasa kama hujui
Tulia tulia kijana!Shem kwangu au
usikate maana watarudisha chap, unga waya uwe unaning'inia, kisha watonye tanescoShondorobo sikiriamba maana yake nini? Wallah kesho nawakatia umeme hawa. Hivi dronedrake nikiwa na side cutter haitoshi kukata 25mm?
Nataka niwaungie live na neutralusikate maana watarudisha chap, unga waya uwe unaning'inia, kisha watonye tanesco
Neno la MunguUnapakwa nini?
She she she nzii nzii nzii
huyo wa pili akija, hakutakalika hapa
Una ma pepo ndiyo maana unaona kzi ya Mungu haifai. Sasa na kukemea popote tooooooka kwa Jina la YESU.Hii kero ya kupigiwa kelele na makanisa yawakeshaji inatunyima usingizi.
'Sirikali' mliangalie hili jambo. Tumechokaaa
Kama huwezi kujibu kistarabu usianzishe wala kureply uzi wowote ukituletea matusi yako tutakutukana tu mkuuuu neno la mwisho ni nduuuuu
Umbwaaa
MbusiiUmbwaaa
Shaffling ya upigaji tuNaunga mkono hoja....
Bi ushungi yupo busy na rishafo...