Kupigwa bomba haja kubwa kunasaidia nini?

Kupigwa bomba haja kubwa kunasaidia nini?

BICHWA KOMWE -

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2022
Posts
6,373
Reaction score
16,073
Huko Tanganyika nilisikiaga watu wanakamatwa na kushindiliwa mabomba kwenye haja kubwa.

Wengine wakadai ati wanawashindilia wenzao mabomba ili kutoa mbegu!

Katoto kakionekana ni kashoga kanadakwa haraka haraka kanapelekwa kwenye zahanati ya kijiji kushindiliwa bomba la kutoa mbegu.

Kuna rafiki yangu mmoja ni dokta uchwara wa hapo muhimbili nikamfuata kumuuliza hili swala limekaaje akashindwa kunijibu vizuri.

Nilimuuliza maswali kadhaa. Kwanza, nijuavyo mimi, huko kwenye utumbo mpana, kinyesi kikipita kinazoa na mauchafu yote ikiwemo shahawa kama zimo.

Lakini pili, utumbo mpana au kinyeo havina kapu la kuhifadhi uchafu. Uchafu unakaa kwa muda unapita na kutoka.

Nikamuuliza, hili kapu la shahawa lililopo kwenye utumbo mpana ambalo ni lazima lipigwe bomba linafanya kazi vipi?? Hakunijibu.

Wale wajuzi wa mabomba natumai mpo humu. Mtufahamishe haya mabomba yanafanyaje kazi.
 
Huko Tanganyika nilisikiaga watu wanakamatwa na kushindiliwa mabomba kwenye haja kubwa.

Wengine wakadai ati wanawashindilia wenzao mabomba ili kutoa mbegu!

Katoto kakionekana ni kashoga kanadakwa haraka haraka kanapelekwa kwenye zahanati ya kijiji kushindiliwa bomba la kutoa mbegu.

Kuna rafiki yangu mmoja ni dokta uchwara wa hapo muhimbili nikamfuata kumuuliza hili swala limekaaje akashindwa kunijibu vizuri.

Nilimuuliza maswali kadhaa. Kwanza, nijuavyo mimi, huko kwenye utumbo mpana, kinyesi kikipita kinazoa na mauchafu yote ikiwemo shahawa kama zimo.

Lakini pili, utumbo mpana au kinyeo havina kapu la kuhifadhi uchafu. Uchafu unakaa kwa muda unapita na kutoka.

Nikamuuliza, hili kapu la shahawa lililopo kwenye utumbo mpana ambalo ni lazima lipigwe bomba linafanya kazi vipi?? Hakunijibu.

Wale wajuzi wa mabomba natumai mpo humu. Mtufahamishe haya mabomba yanafanyaje kazi.
Huku Zenjibar huwa hampigwi mabomba na mnadumu tu kama kawa. Tanganyika wana complicate sana. Wewe unaonaje lakini?
 
Huko Tanganyika nilisikiaga watu wanakamatwa na kushindiliwa mabomba kwenye haja kubwa.

Wengine wakadai ati wanawashindilia wenzao mabomba ili kutoa mbegu!

Katoto kakionekana ni kashoga kanadakwa haraka haraka kanapelekwa kwenye zahanati ya kijiji kushindiliwa bomba la kutoa mbegu.

Kuna rafiki yangu mmoja ni dokta uchwara wa hapo muhimbili nikamfuata kumuuliza hili swala limekaaje akashindwa kunijibu vizuri.

Nilimuuliza maswali kadhaa. Kwanza, nijuavyo mimi, huko kwenye utumbo mpana, kinyesi kikipita kinazoa na mauchafu yote ikiwemo shahawa kama zimo.

Lakini pili, utumbo mpana au kinyeo havina kapu la kuhifadhi uchafu. Uchafu unakaa kwa muda unapita na kutoka.

Nikamuuliza, hili kapu la shahawa lililopo kwenye utumbo mpana ambalo ni lazima lipigwe bomba linafanya kazi vipi?? Hakunijibu.

Wale wajuzi wa mabomba natumai mpo humu. Mtufahamishe haya mabomba yanafanyaje kazi.
Lugha uliyotumia ni kali sana.
 
Bomba kuna hadi makabila yalikua yanafanya hivyo zamani kwa watoto wakipata matatizo ya tumbo,

Ninachojua inatumika na wanaopenda michezo ya tigo, kujisafisha kabla na baada ya tendo....

Afu kidude chenyewe si kiko hivi mbona kinaitwa bomba? Au nimechanganya?
1702207619716.png
 
Back
Top Bottom