BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
- Thread starter
-
- #41
Bora umesema ukweli, nilikuwa nasubiri utulaghai.Nimewahi kufanya but haikuwa kwa ajili ya unachofikiri...
Huduma hiyo huwa naitoa kwa ajili ya Watu wenye matatizo ya Constipation na Tunaita ENEMA..
Ila hiyo ya wenye matatizo ya shahawa sijawahi kuona nasikia story mtaani kama wewe natabasamu na kucheka tu
Liwati ndio mdudu gani?Usiogope nenda ili uache liwati
Dokta sasa hapo kilichokuchekesha ni nini?π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Asante.Scientific facts!
From further literature Review in my academic safari!
Kupigwa Bomba Kwa lugha za kihuni,Kwa baadhi ya lugha kama wanyamwezi wanaita kapembe kitaalamu wanaita Enema!!
Ni process ya kuondoa uchafu kwenye rectum, store ya uchafu kabla haujatoka pale Huwa Kuna mabaki pale nsio Yale Huwa unaharisha sana ukipata maambukizi ya kuhara damu,Huwa unaachia uharo Kwa Kasi ya fast jet!!
Sasa!kienyeji Huwa wanachanganya na dawa za mitishamba au majani Kwa watu ambao hupata choo kwa shida Santa au tumbo kujaa gesi na kukosa hamu ya kula Enema hutumika!!
Kitaalam Wanatumia dawa maalum na kuingizwa Kwa njia ya haha kubwa baada ya muda ni jet una hara kama huna akili nzuri!!!
Kwa waathiriwa wa ushoga pia hufanyiwa kuondoa Any traces of sperm ambazo huwasababisha muwasho mkali unaotokana na Bacteria kuzishambulia hizo sperm,zikikosekana hizonspem ndio muwasho wa shoga huzidi na kutafuta dume la kumwingilia Ili kuwatuliza wale Bacteria!!mashoga Huwa wanatoa na Hela kabisa kwa ajili ya Hilo!mf.mheshimiwa Fulani ambae mstaafu was ubunge maeneo ya pande fulanj alikua anawahonga hadi wachoma chips!!
Enema,kapembe,pigwa Bomba!!!!
Ni hivyo!!
adriz the woodpecker huko wapi?Huyo huyo.
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£Yule mama Terry sijui yuko wapi
Alikuwaga na tiba pale kwake kurasini
Miaka hiyo ya kuwapunguza watu mafuta mwilini,kuwasafisha
Alikuwa anawapiga bomba moja ya tiba yake
Kuna siku nlikuwa natokea sabasaba
Wakati ule namiliki gari,
Kuna jamaa mmoja na mke wake wakaniambia niwapitie pale maana hali zao syo...poa
Nlipowachukua wakaniambia wamepigwa bomba basi muda wote haja inawajia [emoji1]
Sasa mm si baharia, nkawambia oyaa
Angalieni msichafue gari bana
Nlipowafikisha kwao mitaa ya upanga kila mtu alishuka speed wakaacha wanawahi chooo [emoji1]
Hawakurudi tena kule maana ilikuwa kila wiki lazima wawe wanaenda kupigwa bomba
Ova
Ila wadada mjini sahv wengi wanapigwa bomba aise[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuingiliwa kama unavyo... WwLiwati ndio mdudu gani?
Nop Not Medically Verified kwa sasa!DR Mambo Jambo Dr Restart is this medically verified?
Mkuu Unanichekesha sana Leo naona umeamka na Watanganyika na sisi Watu wa Kangani tusemejeBora umesema ukweli, nilikuwa nasubiri utulaghai.
Kumbe yale mambo ya kutolewa shahawa kwenye utumbo mpana ni hadithi tu?
Halafu watanganyika wanapensa sana hili swala la bomba! Huwa nasikia tu, bomba sijui nini!
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£ππIla wadada mjini sahv wengi wanapigwa bomba aise
Usione dada yuko kwenye harrier, rav4 kajiachii wanafukuliwa sana
Ova
Sometimes, All you need its just Sit back,buckle up and laugh very hard..It doesnt Hurt..Dokta sasa hapo kilichokuchekesha ni nini?
Hata sielewi. Nyie huwa mnaachwa hivyo hivyo na mna survive? Sababu yote ni nini?Tanganyika mnashindiliwa mabomba kwanini?
HahahaSometimes, All you need its just Sit back,buckle up and laugh very hard..It doesnt Hurt..
Try once in a while π€£π€£π€£
Labda ndo maana wanakua maarufu wa ile michezoHata sielewi. Nyie huwa mnaachwa hivyo hivyo na mna survive? Sababu yote ni nini?
Watu wanajua kujichosha kwa hiyo before and after wanajisafishaBomba kuna hadi makabila yalikua yanafanya hivyo zamani kwa watoto wakipata matatizo ya tumbo,
Ninachojua inatumika na wanaopenda michezo ya tigo, kujisafisha kabla na baada ya tendo....
Afu kidude chenyewe si kiko hivi mbona kinaitwa bomba? Au nimechanganya?
View attachment 2838611
sio wote wanapenda kuchezea matopeWatu wanajua kujichosha kwa hiyo before and after wanajisafisha
Kazi kweli kweli!!π
Ah k'babake dogo uko deep sana hadi unatisha ujue πlugha ngumu umetumia ila itakua ndo hivyo
kuna makabila zamani walikua wanatibia watoto tumbo hivyo, labda huko hospitali itakua inatumika kwenye matatizo ya tumbo pia
View attachment 2838615