rindi na mtwara ni mojawapo ya ngome za cuf. cuf wamekilaumiwa na serikali kwamba wanchochea fujo mtwara. hata hivyo wafuasi wa cuf wamekuwa wakipigwa na jeshi la wananchi bila huruma.cuf wamekuwa wakilalamika bila mafanikio. je sababu nini kilio chao hakisikilizwi cha kutendewa vibaya na jeshi? kosa la cuf nini nini mpka hakuingwi mkono wa makundi mengi ya kiraia na watu binfsi katika kuwatetea mtwara pamoja na kupigwa? toa ushauri na malekezo kwa cuf