Katika mkesha wa mwaka mpya huku mtaani kwetu 2014, kulikuwa kuna mziki eneo la wazi, mziki huru ambapo watu wa rika zote walihudhuria ili kusherekaea.
Katika tukio hilo kuna wadada watatu wafanyiziwa ile mbaya
Baada ya kubugia pombe mchanganyiko (viroba+ konyagi + bia +...) wakazima ;kutojiambua. Walikwisha tahadharishwa tangu mwanzo, si wakata "haki sawa ya kunywa".
Mmoja wao alipata fahamu baada ya mwanamume wa tatu kumaliza. Wenzake wawaili, walifanyiwa ile mbayaaaa, takribani kila mmoja wanaume zaidi ya 15, walimtumia. Mama zao walihuzunika mnooooo....waliwabiga ili hali hawajitambui. Kwa sasa wadada hao wameondoka kwa aibu.
N.B. Usipojiheshimu, hutaheshimiwa!