2019
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 3,130
- 4,735
Nasema haya najua kuna watu watapuuza ila baadae ndio wataelewa.
Kwanza kabisa hawa matapeli wana mbinu kama za shetani...kivipi? Shetani ili akupate hawezi kuja mwenyewe sababu utamwogopa na hutamwaanini,lazma aje kupitia marafiki na watu wako wa karibu yani unaowaanini.
Hivyo hivyo hizi kampuni za investments sijui network marketing lazma mtu atakaekuunga awe mtu wako wa karibu huenda hata kwa msisitizo akakukopesha msingi wa kuingia.
Majamaa yana akili yana,hapa ndio ile kauli TOA PESA UPATE PESA. Mwanzo wa kupigwa mm,nilipigwa kwenye sky investment 10$ 2018 ikaniuma kimtindo muda ukapita,hawa kalynda wamekuja kama kwa kasi ya 5G na mbinu ya mbawa mwitu alievaa ngozi ya kondoo.
Wamekuja na mtaji,wana vielelezo vyote vya serikali,wamepanga ofisi kwenye jengo lenye hadhi,kubwa kuliko wamelipia matangazo kila kona kwenye televisheni na barabarani. Kwanini usiwaamini?.
Tusema mwekezaji alikuja na msingi wa milioni 500 kugharamia vibali na mishahara ya wafanyakazi kwa miezi 3 au 4. Aya akapata members 100k tufanye kamadirio ya chini kila mtu aliwekeza 20k tu.
50000×50000=2,500,000,000-500,000,000 faida 2bls
Binafsi nilingii ila kwa tahadhari,sababu huwa najiuliza swali moja tu. Unaweka pesa unapata faida 4% kila siku akija tajiri akaweka bilioni 2 faida yake kwa siku shilingi ngapi? Bila usumbufu wa TRA manispaa mara kodi ya pango na wafanyakazi kazi gharama za uendeshaji wa biashara. Si kila mtu angewekeza huko?
Hizi kampuni kuwekeza huko ni kama kubet tu,wa kwanza watapiga ila wa mwisho watapigwa tu. Hakuna anaeweza kufanya biashara bila kupata faida.
Kalynda wameondoka watakuja wengine kwa mbinu nyingine mpya na za kuvutia zaidi kama za kweli kabisa na bado watanzania tutapigwa tena. Asanteni na pole yetu tuliojilipua na kula na kusepa.
Kwanza kabisa hawa matapeli wana mbinu kama za shetani...kivipi? Shetani ili akupate hawezi kuja mwenyewe sababu utamwogopa na hutamwaanini,lazma aje kupitia marafiki na watu wako wa karibu yani unaowaanini.
Hivyo hivyo hizi kampuni za investments sijui network marketing lazma mtu atakaekuunga awe mtu wako wa karibu huenda hata kwa msisitizo akakukopesha msingi wa kuingia.
Majamaa yana akili yana,hapa ndio ile kauli TOA PESA UPATE PESA. Mwanzo wa kupigwa mm,nilipigwa kwenye sky investment 10$ 2018 ikaniuma kimtindo muda ukapita,hawa kalynda wamekuja kama kwa kasi ya 5G na mbinu ya mbawa mwitu alievaa ngozi ya kondoo.
Wamekuja na mtaji,wana vielelezo vyote vya serikali,wamepanga ofisi kwenye jengo lenye hadhi,kubwa kuliko wamelipia matangazo kila kona kwenye televisheni na barabarani. Kwanini usiwaamini?.
Tusema mwekezaji alikuja na msingi wa milioni 500 kugharamia vibali na mishahara ya wafanyakazi kwa miezi 3 au 4. Aya akapata members 100k tufanye kamadirio ya chini kila mtu aliwekeza 20k tu.
50000×50000=2,500,000,000-500,000,000 faida 2bls
Binafsi nilingii ila kwa tahadhari,sababu huwa najiuliza swali moja tu. Unaweka pesa unapata faida 4% kila siku akija tajiri akaweka bilioni 2 faida yake kwa siku shilingi ngapi? Bila usumbufu wa TRA manispaa mara kodi ya pango na wafanyakazi kazi gharama za uendeshaji wa biashara. Si kila mtu angewekeza huko?
Hizi kampuni kuwekeza huko ni kama kubet tu,wa kwanza watapiga ila wa mwisho watapigwa tu. Hakuna anaeweza kufanya biashara bila kupata faida.
Kalynda wameondoka watakuja wengine kwa mbinu nyingine mpya na za kuvutia zaidi kama za kweli kabisa na bado watanzania tutapigwa tena. Asanteni na pole yetu tuliojilipua na kula na kusepa.