Kupigwa na Kalynda sio mwisho wa utapeli Tanzania, bado tutapigwa sana

Taifa la kondoo,huendeshwa na serikali ya dubu na mbwa mwitu wenye siri kubwa
 
Asante sana nimekuelewa na ni kweli, mjinga hawezi kupata maendeleo sababu ya uoga
 
Kuaminishwa yeye ni mtulivu ila unaambulia fungus a.k.a U.T.I, Kaswende na Gono....
 
Kalynda mpo sehemu mnakula maisha,huku mnatucheki kwambali na darubini,huku mnajisemea wavtz maboya tu
 
Cc mrangi
 
Mkuu nchi imefunguliwa awamu ya 4 Deci, awamu ya 6 Kalyanda, nchi ilifungwa sasa tunajionea mambo yaliyokuwa yamefungwa.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Tuache wapige pesa za wajinga kipindi cha Magufuli walikuwa wanashughulikiwa na Takukuru tukaaminishwa Magufuli alikuwa ana wapola pesa wafanyabishara.

Sent from my TECNO BB2 using JamiiForums mobile app
 
Ukikataa kupigwa klnd utapigwa kwa mwaposa na mafuta ya upako
 

Hao wamesoma tuu lakini bado wajinga tuu ndio maana wanaamini kwenye kupata pesa kwa kulala tuu
 
Mimi niliwahi kupigwa shilingi elfu themanini (1985) kwa ule utapeli wa dhahabu. Baadaye nilikuja kujuwa aliyewezesha hiyo alikuwa school mate wangu (shule ya msingi). Kumbuka elfu 80 mwaka 1985 ilikuwa siyop pesa ndogio. Tangu wakati huo nimekuwa nikijilinda na utapeli. Hizi zilizokuwa zinapita mimi nilkuwa sijihusishi kwa sababu niliamini kabisa hakuna mtu/kampuni yeyote inayoweza kutoa faida kubwa kiasi hicho na ikaendelea ku"survive". Kama uliyosema hapo juu wanakuja na mtaji mkubwa wa kuwaaminisha watu kwa kuwapa faida kubwa, watu wakiisha amini ndiyo wanakuja na ile"knock out blow" na kufunga offisi na kukimbia. Swali la kujiuliza, hiyo pesa yote wanakimbiaje nayo? Wanaipitishaje?
 
Bestbei mtoto wa kalyinda kaja,sahzi wamekuja na rangi ya njano wameona nyekundu mtawashtukia.Kuna groups kumi za wasup mpka sasa
 
Hakuna kinachoshindikana huenda imegawanywa kwenye account tofauti za wabongo ambao ni wabia wa huo mradi wa mchongo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…