Kupigwa risasi kwa Tundu Lissu: Kampuni ya simu ya Tigo yadaiwa ilivujisha mawasiliano yake kwa mamlaka

Kupigwa risasi kwa Tundu Lissu: Kampuni ya simu ya Tigo yadaiwa ilivujisha mawasiliano yake kwa mamlaka

Mambo hayafanyiki kwa mihemko kama unavuodhani!
Kwa hiyo yafanyike hayo kisa Lisu alifanyiwa hiyo!
Who is Lisu mpaka tigo ifanyiwe hivyo?
Juzi hapa maandamano umeona kilichotokea?

Jinsi ulivyoandika tu inaonesha hakuna kitu unaelewa wewe kuhusu privacy policy...
 
Tigo nao wanasemaje??

Hizo taarifa zilivujishwa zikatumwa kwa nani? Isiwe zilitumwa kwa mtu tu then ikatajwa serikali. Inawezekana mtu mmoja ametumia madaraka yake vibaya lakini kwenye utambulisho/fikra zetu tukasema serikali. Ni vyema ingeelezwa nan alikuwa anapokea taarifa ili nae aseme aliagizwa na mamlaka za serikali au utashi wake


..Tigo wanatakiwa waonyeshe kama taratibu za KISHERIA zilifuatwa ktk kutoa taarifa za Tundu Lissu.

..Kampuni inakabiliwa na tuhuma mbaya za kushirikiana na watu wenye nia ovu ya kufanya mauaji ya kisiasa, na ugaidi.
 
Jinsi ulivyoandika tu inaonesha hakuna kitu unaelewa wewe kuhusu privacy policy...
Juzi Mbowe walisema yupo Arusha yaan simu zake zote zilisoma zipo Arusha na Bwana yule mtaalamu wa masuala hayo ndio aliesema kwamba ngoja nikomee hapo sitaki mambo yawe mengi
 
Hili jambo liko wazi kuwa ni serekali ndio ilihusika kwa maagizo ya dhalimu magu.
Alikuwa kiumbe cha mateso zidi ya watanzania, nazani Komwe lake lile ndilo lilipelekea uroho mbaya wake.
 
CCM ni ile ile na watawala wake ni watwana wanapishana Grade na vipaumbeke vya uhuni tu.
 
Katika mashauri yaliyosikilizwa katika Mahakama ya ajira ya London, Uingereza, imeibuka taarifa kwamba kampuni ya mawasiliano ya Tigo ilihusika katika kutoa taarifa za simu za mwanasiasa maarufu wa Tanzania, Tundu Lissu, kwa mamlaka za serikali kabla ya jaribio la mauaji dhidi yake mwaka 2017.

Taarifa hizo zinadai kuwa Tigo ilitoa taarifa za eneo na mawasiliano ya simu ya Lissu kwa serikali ya Tanzania kuanzia tarehe 22 Agosti 2017, wiki chache kabla ya shambulio hilo kutokea. Taarifa hizi zilifuatiliwa kwa saa 24 kila siku, hadi siku ya tukio.

Shambulio la Risasi Dhidi ya Tundu Lissu

Lissu, ambaye ni mwanasheria na mwanasiasa wa upinzani, alishambuliwa kwa risasi 36 tarehe 7 Septemba 2017 nje ya makazi yake ya bunge mjini Dodoma. Alipigwa risasi akiwa kwenye gari lake na kujeruhiwa vibaya, lakini alinusurika kifo. Mpaka sasa, hakuna aliyekamatwa kuhusiana na shambulio hilo.

Mfanyakazi wa Tigo Afutwa Kazi kwa Kuwasilisha Malalamiko

Katika kesi hiyo, Michael Clifford, afisa wa zamani wa Tigo na mpelelezi wa zamani wa polisi, alidai kuwa alifutwa kazi kwa sababu ya kufichua taarifa kuhusu mpango wa utoaji wa taarifa za simu za Lissu kwa serikali ya Tanzania.

Clifford alidai kwamba baada ya kuhudhuria mkutano uliohusu utoaji wa taarifa hizo, alianzisha uchunguzi wa ndani na kugundua kwamba Tigo ilikuwa ikitoa taarifa za simu ya Lissu kwa serikali bila idhini yake.



Firm disclosed phone data of shot Tanzanian politician, UK tribunal hears

Tigo's former investigator claims he was unfairly dismissed for raising concerns over 2017 attack on Tundu Lissu

David Pegg
Tue 24 Sep 2024 15.58 BST

Gunmen tried to assassinate a Tanzanian opposition politician after a telecoms company secretly passed his mobile phone data to the government, according to evidence heard in a London tribunal.

The mobile phone company Tigo provided 24/7 phone call and location data belonging to Tundu Lissu to Tanzanian authorities in the weeks before the attempt on his life in September 2017.

The arrangement, which Tigo does not deny, was revealed in a claim by a former internal investigator for the company that was heard at the Central London employment tribunal this month.

Michael Clifford, a former Metropolitan police officer, claims that Millicom, the owner of the Tigo brand, sacked him for raising concerns about the affair.

“Mr Clifford’s case is that he was treated to his detriment, frozen out by [Millicom] and automatically unfairly dismissed because he made protected disclosures, or ‘blew the whistle’, in respect of matters of the utmost seriousness and public interest importance,” Clifford’s lawyers said in written submissions.

Lissu was attacked in his car in the parking bay of his parliamentary residence in Dodoma on 7 September 2017. The car was sprayed with bullets and he received severe injuries. Nobody has been prosecuted for his attempted murder.

Five days later, Clifford began investigating after hearing on a conference call that Millicom had been providing Lissu’s mobile phone data to the Tanzanian government. He later handed a summary of his findings to his superiors, his lawyers said.

The report concluded that “information had been provided to the Tanzanian government since 22 August 2017”, the lawyers said. “From 29 August 2017, the intensity of the tracking increased and [Millicom] used its human and electronic resources to live-track 24/7 the location of two of Mr Lissu’s mobile phones.”

The data was passed to the government via WhatsApp messages, which Millicom was later asked to delete. No formal legal request for the data appeared to have been filed.

“In the claimant’s reasonable belief, this information tended to show that [Millicom] was involved in an attempted political assassination and an act of terrorism,” Clifford’s lawyers said.

Get in touch
Do you have information about this story? Email david.pegg@theguardian.com, or (using a non-work phone) use Signal or WhatsApp to message +44 772 8715874. For the most secure communications, use SecureDrop or see our guide.

Clifford claims that after escalating his concerns, his relationship with his managers began to break down and they began to marginalise him within the company, before making him redundant in the autumn of 2019. Millicom disputes Clifford’s claim.

The company provides telecoms services to emerging markets in Latin America and also operated in parts of Africa during the period Clifford was employed. Its position is that at the time Clifford was dismissed, it was in the process of winding down a substantial proportion of its activities in Africa.

Tanzania remains a dangerous country in which to be a member of the political opposition, despite a change of president in 2021. On Monday, police arrested Lissu and at least a dozen others before planned protests against killings and the

Chanzo. The Guardian UKView attachment 3105588
Habari kama hizi hutoisikia wala kuisoma kwenye chombo chochote cha habari Tanzania. Mods on amelala wakiamka wataifuta
 
Juzi Mbowe walisema yupo Arusha yaan simu zake zote zilisoma zipo Arusha na Bwana yule mtaalamu wa masuala hayo ndio aliesema kwamba ngoja nikomee hapo sitaki mambo yawe mengi
Kumbe kampuni za simu zinavujisha siri za mawasiliano ya wateja wao bila kufuata sheria?
 
Hizi nchi zetu za dunia ya 3 makampuni binafsi hayako huru hayana ubavu wa kuzigomea serikali za nchi hizi wakidaiwa taarifa za wateja wao

Kukosa kwao msimamo huku na kuvujisha siri za wateja wao kunawaharibia biashara na kuwaondolea credibility
 
Tuko nyuma sana kwa technology. Wametupita kwa kila kitu . Mzungu anatuchungulia mpaka ndani ya mapafu, acha vyumbani. Simu ni zao, satellite ni zao, hata savers ni zao, mimi siwabishii.
Wasaudia walimuua mwandishi wa habari kashogi ndani ya ubalozi wao nchini uturuki kisha wakaukatakata mwili wa mwandishi na kuutumbukiza katika pipa la asidi lakini wakaja kushangaa picha zote za tukio lipo wazi na wao walifanya siri sembuse hili ambalo linafanyika nje hadharani. Wanastahi tu kwakuwa na wao wanamaslahi yao humu nchini. Ila ukiingilia maslai yao kama gadafi au sadamu utaona cha mtema kuni.
 
Kumbe kampuni za simu zinavujisha siri za mawasiliano ya wateja wao bila kufuata sheria?
Ulikua haujui hizi kampuni zipo kwa ajili ipi na zipo chini ya nani yaan mwenye mamlaka na kampuni zote ambae hata sasa akikuhitaji kwa kuzitumia hizo kampuni anakupata haumjui?

Rejea yule mzee wa Tanga aliedakwa kwenye gari na wale mabwana wakaondoka nae, tupo kwenye msiba wa mtumishi wa Halmashauri alieungua vibaya akiwa kwenye gari huko Tanga unganisha dots
 
Tundulisu alikuwa anatumika na mafisadi ili kukwamisha taifa kinyume na haki. Hivyo ilikuwa haki kupigwa chuma..na mambo ya ovyo ya namna hii ndiyo yamefanya watu kuvunjika moyo na vyama ya Upinzani tz ...wakati tundu lisu akipewa pesa za kifisadi na mabeberu mbowe yeye anapokea pesa za kifisadi kutoka ccm na serikalini.
Bado uko na nadharia za yule jinga?
 
Usichokijua ni kwamba "JIKONO JANDAMA" alikuwa "anatrepu" simu za lissu na alisema mwenyewe.

Usichokijua tu ni kwamba Nzirankende alikuwa anapata SMS/Calls na kusikiliza na kusoma sms za watu aliokuwa anatrace yeye...Ndiyo maana voice call za Membe(M.A.P) ,Kinana na meseji za makatibu/mawaziri wanagombana alikuwa nazo.
 
TIGO wamekwisha
Kwa upeo wangu mdogo nadhani kilichofanyika ni kutaka kuiumbua serikali baada ya ile mikwara mbuzi ya Chura kiziwi.

Tigo hana kesi maana Mabeberu wako mbele ya Muda. Kampuni ya Millcom alishajiongeza muda akauza mtandao wa Tigo Kwa Rostam Aziz na huenda hata hawakumuuzia bali waliingia kati na Rostam wakasajili kampuni nyingine Rostam akakaa front kama mmiliki. Akili ni mia.

Ukienda mahakamani huwakuti.

Hao wapuuzi wako mbele ya muda.
 
Back
Top Bottom