Kupigwa risasi kwa Tundu Lissu: Kampuni ya simu ya Tigo yadaiwa ilivujisha mawasiliano yake kwa mamlaka

Kupigwa risasi kwa Tundu Lissu: Kampuni ya simu ya Tigo yadaiwa ilivujisha mawasiliano yake kwa mamlaka

Tundulisu alikuwa anatumika na mafisadi ili kukwamisha taifa kinyume na haki. Hivyo ilikuwa haki kupigwa chuma..na mambo ya ovyo ya namna hii ndiyo yamefanya watu kuvunjika moyo na vyama ya Upinzani tz ...wakati tundu lisu akipewa pesa za kifisadi na mabeberu mbowe yeye anapokea pesa za kifisadi kutoka ccm na serikalini.
Punguza bangi basi hebu tuonyeshe jinsi alivyokuwa anatumikana na mafisadi na haki. Wapumbavu wanaokaririshwa na maccm ndio waliovunjika moyo, lakini wote wenye akili timamu hawafurahishwi na watekaji na wauaji wa wakosoaji wa serikali
 
Punguza bangi basi hebu tuonyeshe jinsi alivyokuwa anatumikana na mafisadi na haki. Wapumbavu wanaokaririshwa na maccm ndio waliovunjika moyo, lakini wote wenye akili timamu hawafurahishwi na watekaji na wauaji wa wakosoaji wa serikali
Nenda kamuulize mwenyewe ni kwa nini sasa hivi wana mtukuza jpm hadi wanalilia kwenda kwenye kaburi lake ...ni kwa sababu ukweli wanaujua kuwa walikuwa wanatumiwa vibaya na mafisadi ambao kwa sasa ndiyo wameshika dola
 
Kumbe makampuni ya simu yana support mauji! Juzi kesi ya Kabendera vs Vodacom ilitupiliwa mbali kumbe huenda walimhujuma. Pambaf zao wote
Na mahakama nazo zinatumika, angalia kesi zote dhidi ya wapinzani hakuna anayeshinda. Kumbuka kauli ya Warioba kwenye mkutano wa TCD kuwa waliwahi kutoa maoni kuwa si vizuri spike na jaji mkuu kuwepo kwenye mikutano ya rais.

Hoja ni kwamba viongozi wa mihimili hawatakiwi kukutana zaidi ya siku ya uteuzi
 
Nenda kamuulize mwenyewe ni kwa nini sasa hivi wana mtukuza jpm hadi wanalilia kwenda kwenye kaburi lake ...ni kwa sababu ukweli wanaujua kuwa walikuwa wanatumiwa vibaya na mafisadi ambao kwa sasa ndiyo wameshika dola
Hizo bangi, nani anayemtukuza jpm? Utavaa chupi kichwani. Fisadi gani aliyeshika dola ambaye siyo CCM? Kila uchao wenye akili timamu wanafichua uovu wa huyo mwendazake UWT mmechanganyikiwa
 
Ukweli unatabia
Ya kujidhihirisha wenyewe.

Time reveals everything.

God is greatest 💪
 
Kwani ilikuwa siri, mbona yule roporopo aliyekuwepo (Magufuli) alikuwa anasema wazi tunadukua mawasiliano ya Lissu na kusikiliza jinsi anavyojaribu kufanya sabotage kwenye re-negotiations za madini na ACCACIA.

Pamoja na hayo Lissu akaonywa acha, aelewi somo; akipata muda kwenye media ni kuponda uongozi hoo dictator uchwara, akienda bungeni bado anapika sumu yake ya uongo ya kwenda kushitakiwa MIGA.

I mean it’s obvious Lissu has been compromised for a while, kwa nyakati zile na alichokuwa anafanya ni kujitakia tu.

If anything hii kesi inaonyesha Magufuli alikuwa mkweli alipokuwa anasema kutwa Lissu anapogia simu wafanyakazi wa ACCACIA na tume ya madini kutafuta umbea na coaching ili kuiangamiza serikali.

Wafuasi wa CDM mitandaoni ni shida wapo tayari kutetea viongozi wao kwa lolote bila ya kujali national interest.
Hizi ni hisia za kiuendawazimu, nchi inaendeshwa kwa sheria na katiba kama kuna sheria fulani Lissu amevunja. Kwani Magufuli hakuwa dictator uchwara? Kama amepiga simu onyeesheni na mpeleke mahakamani wauaji nyie.

Kwa hiyo unataka CDM wasiwatetee viongozi wao wanapotekwa, kushambuliwa na kuuawa? Kwako wewe hali hii inakuridhisha?

Pia relate na scenario hii ya TIGO kushtakiwa kwako unaona hawastahili au? Mbona CCM akili zenu finyu? Ila tukisifia viongozi wa CCM kuwa mama anaupiga mwingi wakati anateka na kuua kwako ni sawa?
 
Hizi ni hisia za kiuendawazimu, nchi inaendeshwa kwa sheria na katiba kama kuna sheria fulani Lissu amevunja. Kwani Magufuli hakuwa dictator uchwara? Kama amepiga simu onyeesheni na mpeleke mahakamani wauaji nyie.

Kwa hiyo unataka CDM wasiwatetee viongozi wao wanapotekwa, kushambuliwa na kuuawa? Kwako wewe hali hii inakuridhisha?

Pia relate na scenario hii ya TIGO kushtakiwa kwako unaona hawastahili au? Mbona CCM akili zenu finyu? Ila tukisifia viongozi wa CCM kuwa mama anaupiga mwingi wakati anateka na kuua kwako ni sawa?

Wewe elewa tu ukijitia kiherehere katika mambo ya national security ata kama wanafanya mambo kinyume na sheria utashughulikiwa; popote duniani.
 

Wewe elewa tu ukijitia kiherehere katika mambo ya national security ata kama wanafanya mambo kinyume na sheria utashughulikiwa; popote duniani.
Foolish argument, kwani matendo ya jiwe yalikuwa ni national security zaidi ya personal ambitions? Unapoingia mikataba ya hovyo ambayo inasababisha madeni na fidia kwa taifa ni national security?

CCM imetengeneza vizazi vya hovyo kuanzia wazee wa hovyo kama akina Makamba na Wassira hadi vijana wa hovyo wa kusifu sifu tu.
 
Hizo bangi, nani anayemtukuza jpm? Utavaa chupi kichwani. Fisadi gani aliyeshika dola ambaye siyo CCM? Kila uchao wenye akili timamu wanafichua uovu wa huyo mwendazake UWT mmechanganyikiwa
Kamuulize tundu lissu kwanini anataka kuhiji kwenye kaburi la JPM ...CHADEMA mlitumika kama UKRAINE inavyo tumiwa na wahuni WAMAREKANI dhidi ya URUSI... Chadema kipindi cha JPM mlitumiwa na mafisadi ya ccm dhidi ya jpm na sasa hayo mafisadi yamechukua uongozi yana wachinjeni tu kama mbwa na kuwaoneni kama kinyesi tu. Sema akili hamna hivyo mnashindwa kujua upumbavu wenu.
 
Foolish argument, kwani matendo ya jiwe yalikuwa ni national security zaidi ya personal ambitions? Unapoingia mikataba ya hovyo ambayo inasababisha madeni na fidia kwa taifa ni national security?

CCM imetengeneza vizazi vya hovyo kuanzia wazee wa hovyo kama akina Makamba na Wassira hadi vijana wa hovyo wa kusifu sifu tu.
Kwako natural resources za nchi sio swala la national security au hata maswala ya uchumi?

Ndio maana uwa nasema anahitajika mtu wa kunyoosha mpaka akili zenu zikae sawa.
 
Katika mashauri yaliyosikilizwa katika Mahakama ya ajira ya London, Uingereza, imeibuka taarifa kwamba kampuni ya mawasiliano ya Tigo ilihusika katika kutoa taarifa za simu za mwanasiasa maarufu wa Tanzania, Tundu Lissu, kwa mamlaka za serikali kabla ya jaribio la mauaji dhidi yake mwaka 2017.

Taarifa hizo zinadai kuwa Tigo ilitoa taarifa za eneo na mawasiliano ya simu ya Lissu kwa serikali ya Tanzania kuanzia tarehe 22 Agosti 2017, wiki chache kabla ya shambulio hilo kutokea. Taarifa hizi zilifuatiliwa kwa saa 24 kila siku, hadi siku ya tukio.

Shambulio la Risasi Dhidi ya Tundu Lissu

Lissu, ambaye ni mwanasheria na mwanasiasa wa upinzani, alishambuliwa kwa risasi 36 tarehe 7 Septemba 2017 nje ya makazi yake ya bunge mjini Dodoma. Alipigwa risasi akiwa kwenye gari lake na kujeruhiwa vibaya, lakini alinusurika kifo. Mpaka sasa, hakuna aliyekamatwa kuhusiana na shambulio hilo.

Mfanyakazi wa Tigo Afutwa Kazi kwa Kuwasilisha Malalamiko

Katika kesi hiyo, Michael Clifford, afisa wa zamani wa Tigo na mpelelezi wa zamani wa polisi, alidai kuwa alifutwa kazi kwa sababu ya kufichua taarifa kuhusu mpango wa utoaji wa taarifa za simu za Lissu kwa serikali ya Tanzania.

Clifford alidai kwamba baada ya kuhudhuria mkutano uliohusu utoaji wa taarifa hizo, alianzisha uchunguzi wa ndani na kugundua kwamba Tigo ilikuwa ikitoa taarifa za simu ya Lissu kwa serikali bila idhini yake.

=========

Firm disclosed phone data of shot Tanzanian politician, UK tribunal hears

Tigo's former investigator claims he was unfairly dismissed for raising concerns over 2017 attack on Tundu Lissu

David Pegg
Tue 24 Sep 2024 15.58 BST

Gunmen tried to assassinate a Tanzanian opposition politician after a telecoms company secretly passed his mobile phone data to the government, according to evidence heard in a London tribunal.

The mobile phone company Tigo provided 24/7 phone call and location data belonging to Tundu Lissu to Tanzanian authorities in the weeks before the attempt on his life in September 2017.

The arrangement, which Tigo does not deny, was revealed in a claim by a former internal investigator for the company that was heard at the Central London employment tribunal this month.

Michael Clifford, a former Metropolitan police officer, claims that Millicom, the owner of the Tigo brand, sacked him for raising concerns about the affair.

“Mr Clifford’s case is that he was treated to his detriment, frozen out by [Millicom] and automatically unfairly dismissed because he made protected disclosures, or ‘blew the whistle’, in respect of matters of the utmost seriousness and public interest importance,” Clifford’s lawyers said in written submissions.

Lissu was attacked in his car in the parking bay of his parliamentary residence in Dodoma on 7 September 2017. The car was sprayed with bullets and he received severe injuries. Nobody has been prosecuted for his attempted murder.

Five days later, Clifford began investigating after hearing on a conference call that Millicom had been providing Lissu’s mobile phone data to the Tanzanian government. He later handed a summary of his findings to his superiors, his lawyers said.

The report concluded that “information had been provided to the Tanzanian government since 22 August 2017”, the lawyers said. “From 29 August 2017, the intensity of the tracking increased and [Millicom] used its human and electronic resources to live-track 24/7 the location of two of Mr Lissu’s mobile phones.”

The data was passed to the government via WhatsApp messages, which Millicom was later asked to delete. No formal legal request for the data appeared to have been filed.

“In the claimant’s reasonable belief, this information tended to show that [Millicom] was involved in an attempted political assassination and an act of terrorism,” Clifford’s lawyers said.

Get in touch
Do you have information about this story? Email david.pegg@theguardian.com, or (using a non-work phone) use Signal or WhatsApp to message +44 772 8715874. For the most secure communications, use SecureDrop or see our guide.

Clifford claims that after escalating his concerns, his relationship with his managers began to break down and they began to marginalise him within the company, before making him redundant in the autumn of 2019. Millicom disputes Clifford’s claim.

The company provides telecoms services to emerging markets in Latin America and also operated in parts of Africa during the period Clifford was employed. Its position is that at the time Clifford was dismissed, it was in the process of winding down a substantial proportion of its activities in Africa.

Tanzania remains a dangerous country in which to be a member of the political opposition, despite a change of president in 2021. On Monday, police arrested Lissu and at least a dozen others before planned protests against killings and the

Chanzo: The Guardian UK

View attachment 3105588
In the context of human rights, national security/interest override or supersede all rights.
 
Wafuasi wa CDM hata siku viongozi wenu wakitoa bunduki hadharani na kuuwa, mbele ya umati. Mtasemq nyinyi ndio mliiona vizuri ilikuwa bahati mbaya tu jua lilikuwa usoni kwake akuona kashika nini kabla ya kufyatua.

Ni kama sakata la Mnyika mtu anaitwa kwa mahojiano na polisi wito ambao uwezi kukataa kisheria, ataki kwenda. Mkitoka hapo ohoo Mnyika asiende kuwasaidia polisi kwenye mahojiano. Halafu akikamtwa anaonewa.

Sitogusia ya nani sahihi kwenye mambo ya mikataba kwa sababu najua Lissu hajui na wewe ndio kabisa, so huko tutakuwa tunapoteza muda tu.

Acheni hii mambo ya blind support, if it’s wrong it’s wrong. Msipende kutetea makosa ya wazi ya viongozi wenu.
CDM wana blind support lakini wewe una foolish support, hatutaki hisia za kipuuzi ili kujrnga hoja ya maana, kiongozi wa CDM hawezi kufanya upuuzi huo na akavumiliwa ndio maana wajinga wote wanakimbilia CCM kama akina Msigwa.

Sakata la Mnyika ndio limeonyesha upumbavu mkubwa wa jeshi la watekaji la CCM, siku zaidi ya 14 toka Ali Kibao auliwe kikatili jeshi la polisi halina hata mtuhumiwa mmoja, miaka 7 toka Tundu Lissu ashambuliwe hakuna hata mtuhumiwa mmoja amekamatwa na wewe umeonyesha kuwa ni serikali ndio mtuhumiwa mkuu kwa kusema Lissu alikuwa anahatarisha usalama wa nchi.

Mwenyekiti wa umoja wa vijana wa CCM alitoa post eti kushangazwa na Mnyika kuwa wa kwanza kutoa taarifa ya kutekwa kwa Kibao, na polisi wanataka kufanyia kazi ili wamkamate maana wamhisishe akae ndani muda mrefu sababu kesi za mauaji hazina dhamana.

Sativa alitekwa akapelekwa katavi na kupigwa risasi akafanikiwa kupona, amemtambua mtekaji wake ni afisa wa pilisi Mafwele. Hajakamatwa na wale wenye ushahidi wa Mafwele ndio wanaokamatwa na kufunguliwa kesi kwa kuzungumzia kutuhumiwa kwa polisi kama wanavyofanya kwa Boni yai.

Halafu kuna mjinga wa CCM anataka kuaminisha wenye akili timamu polisi wa kuaminika Mnyika aende tu, mbona huzungumzii tuhuma za polisi kuteka na kuua za Sativa?

CCM imetengeneza wajinga kama wewe hivi viongozi wa CCM na polisi wako sawa ila viongozi wa CDM ndio wenye makosa? You have to be mad
 
Kwa na natural resources za nchi sio swala la national security au hata maswala ya uchumi?

Ndio maana uwa nasema anahitajika mtu wa kunyoosha mpaka akili zenu zikae sawa.
Natural resources zinazotumika kwa manufaa ya kakundi kadogo cha wezi wa CCM nyie nani anayetakiwa kuwajibishwa kama siyo nyie majizi na wapumbavu mnaotaka kutetea wezi?

Wewe ukisema sababu ni juha haina shida ila Muumba ndio anaanza kuwaumbua nendeni mkampe maelekezo na huyo hakimu uingereza msizidi kudhalilika
 
hebu lissu atueleze kama kweli alikuwa anatoa siri au alikuwa anadate tu na mademu
 
Kuna maswali machache hapa.

Huyo mfanyakazi kwanini alikuwa na interest na hiyo issue ya lissu pekee??

Na ndio imemfanya afukuzwe kazi.

Hili swala ni gumu na linaweza zua mgogoro wa kidiplomasia ,

Maana kuna uwezekano mkubwa kwa ushiriki wa nchi flani kwenye hilo tukio
Wewe hujasoma story unatoa maoni mfu tu.
AU LA HUJUI KUSOMA
 
Tundulisu alikuwa anatumika na mafisadi ili kukwamisha taifa kinyume na haki. Hivyo ilikuwa haki kupigwa chuma..na mambo ya ovyo ya namna hii ndiyo yamefanya watu kuvunjika moyo na vyama ya Upinzani tz ...wakati tundu lisu akipewa pesa za kifisadi na mabeberu mbowe yeye anapokea pesa za kifisadi kutoka ccm na serikalini.
Hayo makampuni ya simu yangekuwa yamefanya la maana sasna kama yangetoa taarifa za mafisadi kama hawa waliotajwa na CAG naamini hizi peza zilizungushwa na kugawanywa katiak account zao za simu maana kama watu wanakusanya bilioni 6 na zinaiishia mifukoni mwa watu halafu hapo mtasema Lissu ndio anatumika na mabeberu ?

Mnavyoenda kutembeza kitambaa cha msaada huwa wanageuka majogoo sio mabeberu au?

Sasa wewe unasema Lissu alikuwa anatumika na mabeberu kumbe ni washauri wenu vilaza waliosaini mikataba mibovu ya mibovu , mmekuja kushtuka ndio mnataka mvunje kwa papara mkashauriwa mtulie hamkusikia.

Ndege ya Tanzania kukamatwa South Africa chanzo ni Lissu ?


Kwa kesi kama hizi mahakama za kimataifa utasema Lissu ndio chanzo ?

IMG_20240611_163734.jpg
 
Tanzania remains a dangerous country in which to be a member of the political opposition, despite a change of president in 2021. On Monday, police arrested Lissu and at least a dozen others before planned protests against killings and the

Chanzo: The Guardian UK
As it stands that's the case.
 
Back
Top Bottom