toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,612
- 4,721
Eti wakuu!!!!kati ya kula kwa ma ntilie na kupika mwenyewe kipi afadhali namaanisha ni kipi kinasave pesa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inategemea na ukubwa wa familia. Kama upo mwenyewe kula kwa mama ntilie ni cost effective. Pia bei ya kwa Mama Ntilie inategemea. Ikiwa around 2000 kula Kwa mama ntilie unaokoa muda wa kuosha vyombo, kupika etc. Pia kuna socialization yenye faida kwa mama ntilie.
NB; Uwe bachelor
Mhhh, unataka kumwingiza kwenye matumizi makubwa ya pesa, badala ya kupata hyo faida ya kupikiwa na kuoshewa vyombo atajikuta anaongeza na pesa ya biashara Ila kutaka a tena ni kubwa tu..Kama wewe mwanaume usihangaike,tafuta mama ntilie mtongoze akikubali utaishi maisha yenye raha mstarehe hautajuta,ila ukishindwa kufanya hivyo kupika mwenyewe ni kusev pesa kuliko kununua
Sent using Jamii Forums mobile app