mudy92
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 671
- 531
wasalaam
Ndugu zangu habari ya jumapili Leo Nina swali mdogo wenu, kwanza kabisa tarehe 2 mwezi wa 9 mwaka huu nilishiriki tendo (NILITUMIA KINGA) na binti baadae alinambia kaathirika + HIV baada ya kupata taarifa hizi nilifadhaika sana......
HATUA ZA UPIMAJI NILIZOPIMA.
Siku 14- NEGATIVE
Siku 21-NEGATIVE
Siku 28-NEGSTIVE
Mwezi 2-NEGATIVE
Mwezi wa 3- bado...
Sasa wakuu kuna haja ya kupima tena mwezi huu kukamilisha miezi mitatu
Ndugu zangu habari ya jumapili Leo Nina swali mdogo wenu, kwanza kabisa tarehe 2 mwezi wa 9 mwaka huu nilishiriki tendo (NILITUMIA KINGA) na binti baadae alinambia kaathirika + HIV baada ya kupata taarifa hizi nilifadhaika sana......
HATUA ZA UPIMAJI NILIZOPIMA.
Siku 14- NEGATIVE
Siku 21-NEGATIVE
Siku 28-NEGSTIVE
Mwezi 2-NEGATIVE
Mwezi wa 3- bado...
Sasa wakuu kuna haja ya kupima tena mwezi huu kukamilisha miezi mitatu