Ungenipenda bure sikua na hofu kabisa,,mimi sipendi mtu anilazimishe kupima,ila kupima mwenyewe tu fresh,,kuna jamaa mmoja alinipimaga kwa nguvu sikupenda kabisa,nilikua nimeenda hospital kwa mishe tu zingine akanipima kwa nguvu nikakubali tu ili ardhike,,mkojo uligonga chupi aisee baadae majibu akanipa niko poa tuNatamani ningekuona sura yako D sekunde chache kabla ya kupewa majibu. Bila ya shaka ulizeeka ghafla na sura kujaa hofu kubwa. 😵😵😵
Ungenipenda bure sikua na hofu kabisa,,mimi sipendi mtu anilazimishe kupima,ila kupima mwenyewe tu fresh,,kuna jamaa mmoja alinipimaga kwa nguvu sikupenda kabisa,nilikua nimeenda hospital kwa mishe tu zingine akanipima kwa nguvu nikakubali tu ili ardhike,,mkojo uligonga chupi aisee baadae majibu akanipa niko poa tu
Nashangaa safari hii sijaogopa kabisa deception anafanya kazi kubwa hahahaha
Kingine sipendi kupima kwenye ushauri mwingii,sipendi kabisa na siendi
Alaaa ,,mara ya kwanza kabisa kupima HIV nilikimbiaga majibu hhhaaaaaa we acha tu
Halaf kipindi hicho hata sijakubuhu
Ulipita sehemu hatarishi ukaogopa labda kuna miba miguuni hujaisikia? [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Siku nyingi tu sijapima kama miaka miwili
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] unataka kumpoteza kijana asirudi kukusalimia?Asante nami pia ,ukapime nawe
Hhhhaaa acha tu,,,kuna kipindi flan nilichafua chafua,,lakin nilitumia ndom mara nyingi,,ila nashangaa tu now siogopi kama zamaniLol! Eti hujakubuhu hahahahaha lakini PP si ulishawapa njemba wakafanya yao? Ndiyo sababu ukakimbia ati!!! Siku hizi umekubuhu mwenyewe.
Sasa mbona kila ndugu yetu mjengoni huyu akipima anatoka mzima??Nenda kule wanakochukulia dawa na wanakopimwa cd4utajionea
Umenifanya nicheke kwa sautiMwambie atumie kile kipimo kingine, Unakosaje Ngoma wewe??