Kupima UKIMWI kusikie tu

Kupima UKIMWI kusikie tu

The Evil Genius

JF-Expert Member
Joined
Mar 21, 2014
Posts
6,017
Reaction score
19,506
Mwaka jana December 29, 2019 niliuza mechi ama nilitembelea rim mahala pabovu balaa halafu mkoa ambao kiwango cha maambukizi kiko juu sana.

Baada ya kuuza mechi kesho yake yaani tarehe 30 nikataka marudio ya mechi kwa sababu mtoto alikua na vile vitu vinanimaliza, ila kabla ya game nikamuomba tupime UKIMWI akakubali.

Baada ya vipimo majibu yakatoka mtoto sio mzima, sikuamini macho yangu, nikamuomba twende hospitali kwa ajili ya confirmatory test ya unigold akakataa, hapo ndio nikagundua maana ya ule msemo wa mwana kulitafuta mwana kulipata.

Uzuri hotel niliyokua nimefikia iko karibu na hospitali ya rufaa ya mkoa, nikaenda wakanipa dozi ya PEP. Siku hiyo sikulala, usingizi uligoma kabisa. Wiki ya kwanza ya PEP sikupata usingizi wa kueleweka.

Baada ya PEP nikajipima ikaonyesha negative, sikutaka kupima tena. Leo nimeamka na mzuka wa kupima UKIMWI, nimepima sina.

Furaha niliyonayo naijua mwenyewe. Nimeishi kwa wasiwasi kwa miezi 12 hatimae leo nimeondoa kabisa wasiwasi moyoni mwangu.
 

Attachments

  • 20201219_082054.jpg
    20201219_082054.jpg
    67.7 KB · Views: 9
Aisee hongera boss,ila maisha ya kuishi kwa wasiwasi mabaya Sana.Jitahidi usije rudia Mimi nai njoy Sana kuishi nikiwa mzima wa afya,ata kama life inabana.Nilishapitia kipindi Kama chako,japo mi sikumpima ni wenge tu la kupita akapela
 
Kuwa makini kuanzia sasa, ukimwi upo na unaua.
 
Hivi watu mnawezaje kuwaamini watu kwa kuangalia kwa macho tu? hongera pia usirudie tena
 
Kuna magonjwa yanatisha kuzidi ukimwi na masharti yake ni magumu kweli. Unaujua ugonjwa wa Kisukari?


Nadhani watu wanauogopa ukimwi kutokana na jinsi tulivyotishiwa na kukaririshwa. Ukimwi kwa Sasa sitakuja niuogope Tena.

Kuna kitu kinaitwa AJALI, hii kitu ni funga kazi. Unakufa na afya yako Tena ghafla tu.

AIDS IS A MIND GAME DISEASE,IF YOU CAN OVERCOME THIS AIDS IS NOTHING.




FUNGA MWAKA EEEEEH

in azam TV's voice
 
Hatari ya kupima ni majibu.....jinsi ya kupokea majibu ndio shida inapoanzia.
 
heri yako wewe me ngj nisubir miez mitatu nione kama nitapata dalili zake
 
Back
Top Bottom