Rich Pol
JF-Expert Member
- Oct 11, 2013
- 7,874
- 5,685
Hii ni true story alinihadithia rafiki yangu
Mm na mpenz wangu Tupo kwenye love kwa miaka 4 sasa na nimeamua kumuoa,kitu ambacho kinanisumbua ni huyu mdogo wake wa kike, shemeji yangu huyu hupenda kuvaa vinguo vifupi na vinavyobana,hupenda kuinama kila anapokuwa karibu nami na kunifanya mm nione mapaja yake mazuri na mistari ya....
Siku moja niliitwa na huyu shemeji yangu kwenda kuangalia kadi za mualiko wa harusi,nilipofika nilistuka kumkuta peke yake akiwa kavaa kanga moja tu, hizi kanga za india, kanga ilikuwa nyepesi kiasi cha kufanya macho yangu yaweze ona rangi ya kilichovaliwA ndani, kabla sijasema lolote shemeji yangu aliamua kuvunja ukimya kwa kufunguka juu ya hisia zake kwangu, aliomba nimpe raha angalau Mara moja kabla sijafunga ndoa na dada yake. Moyo ulianza kwenda mbio huku mwili ukitetemeka, nikashindwa kujibu kitu.
Aliniambia kama nataka mautamu basi nimfate chumbani kwake ambapo alikuwa akilala ghorofani, akanza panda ngazi kuelekea kwake kwa mwendo wa madaha na kuniacho nimekodoa mimacho kama mjusi aliyebanwa na mlango��, nikitizama kanga iliyokuwa inasogea kutokana na hatua zake.
Mwili ulinisimka,nikahisi baridi hivi oooh,nilisimama kwa mda kisha nikageuka na kuutazama mlango wa kitokea nje. Nikosogea mlangoni na kutoka nje kwa haraka mno nikielekea nilikopaki gari yangu, ghafla nikaona kundi la familia ya wakwe zangu wakinipigia makofi.
Huku machozi yakimtoka,baba mkwe alinifuata na kunikumbatia. Akasema "familia imefurahi kwa kufahulu hili jaribio, karibu sana ktk familia yetu''
Nilivuta pumzi kwa nguvu kisha nikatabasamu kwa furaha oooohm asante Mungu maana nilikuwa naenda kwenye gari kuchukua condom zangu.
Mm na mpenz wangu Tupo kwenye love kwa miaka 4 sasa na nimeamua kumuoa,kitu ambacho kinanisumbua ni huyu mdogo wake wa kike, shemeji yangu huyu hupenda kuvaa vinguo vifupi na vinavyobana,hupenda kuinama kila anapokuwa karibu nami na kunifanya mm nione mapaja yake mazuri na mistari ya....
Siku moja niliitwa na huyu shemeji yangu kwenda kuangalia kadi za mualiko wa harusi,nilipofika nilistuka kumkuta peke yake akiwa kavaa kanga moja tu, hizi kanga za india, kanga ilikuwa nyepesi kiasi cha kufanya macho yangu yaweze ona rangi ya kilichovaliwA ndani, kabla sijasema lolote shemeji yangu aliamua kuvunja ukimya kwa kufunguka juu ya hisia zake kwangu, aliomba nimpe raha angalau Mara moja kabla sijafunga ndoa na dada yake. Moyo ulianza kwenda mbio huku mwili ukitetemeka, nikashindwa kujibu kitu.
Aliniambia kama nataka mautamu basi nimfate chumbani kwake ambapo alikuwa akilala ghorofani, akanza panda ngazi kuelekea kwake kwa mwendo wa madaha na kuniacho nimekodoa mimacho kama mjusi aliyebanwa na mlango��, nikitizama kanga iliyokuwa inasogea kutokana na hatua zake.
Mwili ulinisimka,nikahisi baridi hivi oooh,nilisimama kwa mda kisha nikageuka na kuutazama mlango wa kitokea nje. Nikosogea mlangoni na kutoka nje kwa haraka mno nikielekea nilikopaki gari yangu, ghafla nikaona kundi la familia ya wakwe zangu wakinipigia makofi.
Huku machozi yakimtoka,baba mkwe alinifuata na kunikumbatia. Akasema "familia imefurahi kwa kufahulu hili jaribio, karibu sana ktk familia yetu''
Nilivuta pumzi kwa nguvu kisha nikatabasamu kwa furaha oooohm asante Mungu maana nilikuwa naenda kwenye gari kuchukua condom zangu.