Kupinga bandari zetu kubinafsishwa si uhaini ni Uzalendo. Waachieni huru Manabii wetu

Kupinga bandari zetu kubinafsishwa si uhaini ni Uzalendo. Waachieni huru Manabii wetu

Hata Mwl Nyerere angelikuwa hai, lazima angeungana na Mwambukusi, Dr Slaa, Askofu Mwamakula, Lissu, Fr Kitima, Ask Pengo, Mbowe, Prof Shivji, Anna Tibaijuka kupinga kubinafsishwa bandari zetu ilhali Bado tunalipa mikopo tuliyojengea bandari zetu .

Nyerere asingekubali kuhamasisha mapinduzi kumwondosha sultani hapo hapo aruhusu mwarabu alabidhiwe Bure Bandari Kwa kivuli Cha uwekezaji na asitoe hata 100 mbovu.

Free our Prophets 🙏🙏
 
Demokrasia mchezo
Kwa hizi roho chaf na vichwa vilivyojaa hisia na akili sifuri itawashinda tuu
 
Hata Mwl Nyerere angelikuwa hai, lazima angeungana na Mwambukusi, Dr Slaa, Askofu Mwamakula, Lissu, Fr Kitima, Ask Pengo, Mbowe, Prof Shivji, Anna Tibaijuka kupinga kubinafsishwa bandari zetu ilhali Bado tunalipa mikopo tuliyojengea bandari zetu .

Free our Prophets [emoji120][emoji120]
NYERERE ALIPINGA KUBINAFSISHWA BANK YA NBC LAKINI HAKUKAMATWA WALA KUFUNGULIWA KESI YA UHAINI
 
Demokrasia mchezo
Kwa hizi roho chaf na vichwa vilivyojaa hisia na akili sifuri itawashinda tuu
Vitisho visituondoe kwenye HOJA.

Mwambukusi &co walipanga kukata Rufaa, na wangeshinda maana hata majudge walikiri Kuna utata kwenye vipengele vya mkataba vinavyivunja Katiba.

Nashauri Rufaa ifunguliwe na mawakili wengine!!
 
NYERERE ALIPINGA KUBINAFSISHWA BANK YA NBC LAKINI HAKUKAMATWA WALA KUFUNGULIWA KESI YA UHAINI
Wanataka kutuuzia Uoga.

Kutoa maoni kamwe hakuwezi kutafsiriwa kama uhaini!!

Wasiumbe vitu visokuwepo.

Wananchi TUMEKATAA kubinafshwa bandari zetu.

Tupige kura ya maoni tupate mshindi!
 
Jibuni HOJA zao,

Maandamano ya Amani yameruhusiwa kikatiba.

Waachieni Manabii wetu tafadhali.
Uhaini haujaruhusiwa, matusi, lugha chafu na uongo pia haujaruhusiwa.

nagahamukuwa kusema uongo kuhusu nchi ni uhaini? Kama haufahamu, kasome vizuri sheria ya uhaini.

Usifikiri Wambura kakurupuka.

Halafu napenda kuwatanabahisha vijana, wakati wa mwendazake hata mimi niliingia mitini, nilikuwa kimya kabisa. Mnaelewa kwanini?

Kwa sababu nafahamu, hakuna anaeweza kujificha nyuma ya keyboard asijulikane ni nani akitakikana. Kwa hiyo tuchunge sana kauli zetu, hatuna teknolojia ya kuishinda serikali.
 
Uhaini haujaruhusiwa, matusi, lugha chafu na uongo pia haujaruhusiwa.

nagahamukuwa kusema uongo kuhusu nchi ni uhaini? Kama haufahamu, kasome vizuri sheria ya uhaini.

Usifikiri Wambura kakurupuka.

Halafu napenda kuwatanabahisha vijana, wakati wa mwendazake hata mimi niliingia mitini, nilikuwa kimya kabisa. Mnaelewa kwanini?

Kwa sababu nafahamu, hakuna anaeweza kujificha nyuma ya keyboard asijulikane ni nani akitakikana. Kwa hiyo tuchunge sana kauli zetu, hatuna teknolojia ya kuishinda serikali.
Kudai na kupinga bandari zetu kubinafsishwa Si kosa.

Uhuru wa Kutoa maoni uheshimiwe.

Mbona waliandamana vijana kusupport bandari kupewa DP World waliruhusiwa?

Nchi yetu ni Huru, Tusitishane.
 
Yule mwanamke mzee anaona aibu, usaliti aliotufanyia akidhani ungekuwa siri leo upo wazi, amelaaniwa.
 
Jibuni HOJA zao,

Maandamano ya Amani yameruhusiwa kikatiba.

Waachieni Manabii wetu tafadhali.
Acha ujuha wewe. Unajua lolote juu ya Bandari wewe?? Au unaendeshwa na chuki zako tu dhidi ya Samia?
 
Uhaini haujaruhusiwa, matusi, lugha chafu na uongo pia haujaruhusiwa.

nagahamukuwa kusema uongo kuhusu nchi ni uhaini? Kama haufahamu, kasome vizuri sheria ya uhaini.

Usifikiri Wambura kakurupuka.

Halafu napenda kuwatanabahisha vijana, wakati wa mwendazake hata mimi niliingia mitini, nilikuwa kimya kabisa. Mnaelewa kwanini?

Kwa sababu nafahamu, hakuna anaeweza kujificha nyuma ya keyboard asijulikane ni nani akitakikana. Kwa hiyo tuchunge sana kauli zetu, hatuna teknolojia ya kuishinda serikali.
Hatuna technology ya kuishinda serikali and till today kigogo ajulikani ni nani, pathetic 😏🚮
 
Kwann HOTUBA za Mwl Nyerere zimefutwa Ckuhizi zinazoongelea RUSHWA na Uzalendo?
Kwa hiyo unaishi wa kuangalia hotuba za nyerere? Tafuta kujiji cha Ujamaa polini huko basi nenda kaishi
 
Kwa hiyo unaishi wa kuangalia hotuba za nyerere? Tafuta kujiji cha Ujamaa polini huko basi nenda kaishi
Bandari ni yetu,

Sisi ndo tunatakiwa kupokea maombi ya wadau wa maendeleo kupata win win situation!!

Haiwezekani sisi tuendelee kupewa mkataba na masharti na mwekezaji na isionyeshe tutapata nn in return.

Nitapiga kelele Nchi kavu, nitapiga kelele ktk vilindi Baharini nitapiga kelele angani Hadi pale HAKI itaposimama juu ya nchi.


Free our Prophets 🙏🙏
 
Back
Top Bottom