Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 15,819
- 33,255
Kwani kuna mkataba mahsusi wa iwekezaji kuhusu Bandari umeshaingiwa?Bandari ni yetu,
Sisi ndo tunatakiwa kupokea maombi ya wadau wa maendeleo kupata win win situation!!
Haiwezekani sisi tuendelee kupewa mkataba na masharti na mwekezaji na isionyeshe tutapata nn in return.
Nitapiga kelele Nchi kavu, nitapiga kelele ktk vilindi Baharini nitapiga kelele angani Hadi pale HAKI itaposimama juu ya nchi.
Free our Prophets 🙏🙏