Kupinga bandari zetu kubinafsishwa si uhaini ni Uzalendo. Waachieni huru Manabii wetu

Kwani kuna mkataba mahsusi wa iwekezaji kuhusu Bandari umeshaingiwa?
 
Ila maandamano ya kikatiba yanaweza kumtoa mtu ikulu. Philippines mpaka watawa walilala barabarani, na kikaeleweka. Hawakufanya uhaini bali Ni maandamano ya amani kikatiba.
 
Ila maandamano ya kikatiba yanaweza kumtoa mtu ikulu. Philippines mpaka watawa walilala barabarani, na kikaeleweka. Hawakufanya uhaini bali Ni maandamano ya amani kikatiba.
Kumtoa kiongozi madarakani Kwa maandamano ya Amani pia Si uhaini ndo democracy yenyewe!

Kuchaguliwa na kukataliwa ni sawasawa kama umeshindwa kutimiza matakwa ya bosses wako wananchi!!


HOJA za wapinga kubinafsishwa bandari zijibiwe Si kuwatisha.

Free our Prophets πŸ™πŸ™πŸ™
 
Nimemsikiliz wakili Mwabhukusi baada ya kutoka kwenye hukumu ya Mbeya sijaona jinai yoyote

Link hiyo hapo>
Hawana kosa lolote.

Maandamano kuunga mkono mradi wa Bandari ni sawa Si uhaini, ila kupinga ni uhaini!!!

Tuheshimu SHERIA na Katiba ya nchi.

Uhuru wa Kutoa maoni uheshimiwe.

Wasiojulikana, free our Prophets πŸ™πŸ™
 
NYERERE ALIPINGA KUBINAFSISHWA BANK YA NBC LAKINI HAKUKAMATWA WALA KUFUNGULIWA KESI YA UHAINI
Kuna mdau aitwa nsanzagee baada ya kusoma post Yako ameanzisha thread.

Bt ni Kwa maslah mapana ya nchi.

Free our ProphetsπŸ™πŸ™πŸ™
 
Jibuni HOJA zao,

Maandamano ya Amani yameruhusiwa kikatiba.

Waachieni Manabii wetu tafadhali.
Ukitawala wananchi kwa njia za fitina, dhuluma na uonevu dhidi ya za sauti zinazopaazwa kuumizwa ama binafsi au kuhusu ubadhirifu wa mali za umma matokeo yake ni sawa na utawala uliifitinika haudumu kamwe.

Vijana kama wanaandamwa na vyombo vya dola kwa maelekezo ya wanasiasa haikubaliki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…