Kupinga Katiba Mpya sasa ni kujipalia Makaa bure

Kupinga Katiba Mpya sasa ni kujipalia Makaa bure

brazaj

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2016
Posts
31,698
Reaction score
41,733
Mijini wanasema kusoma hujui, hata kuangalia picha nako?

Nini kilichojificha kwani? Watu wanataka katiba mpya. TWAWEZA 2017 hawa hapa:

TWAWEZA: Katika Watanzania watatu, Wawili wanataka Katiba Mpya

Msimamo wa CUF, NCCR na CHADEMA unajulikana. Katiba mpya ni sasa.

Kwa msimamo huu:

IMG_20220328_113812_659.jpg


Ndani ya sauti hizi:

IMG_20220329_204405_184.jpg


Mama anachagua kufika 2025 akiwa amechoka kweri kweri.
 
Back
Top Bottom