- Thread starter
- #61
Ni kweli, kwa nini tusiamue kwa umoja wetu tufute vyama.vya siasa ili tubaki na CCM moja.
Maana hakuna haya ya vyama vingi vinavyozalisha vilema, yatima, wajane.
Mkuu hata kwa umoja wao inatosha tu.
Tlaatlaah fikisheni maombi haya kwa mama mpendwa.
Atuache salama na familia zetu kwani nia njema ya ushindani wa haki haipo!