Kupitia Bashungwa na Chalamila sasa Usafiri wa mwendokasi unakwenda kufa rasmi kama ilivyo Tanroads

Kupitia Bashungwa na Chalamila sasa Usafiri wa mwendokasi unakwenda kufa rasmi kama ilivyo Tanroads

Leak

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2012
Posts
52,916
Reaction score
43,505
Tangu Bashungwa amekabidhiwa wizara hii ni wazi na ukweli ulio wazi ameharibu kila kona hasa kule Tanroad!

Cha kushangaza zaidi ni uamuzi wake wa kuruhusu barabara ambazo hazikabidhiwa kuanza kutumika hasa za mwendokasi…..hakuishia hapo na Sasa kwa kushirikiana na chalamila wamevuruga kabisa utaratibu barabarani hasa Dares salaam maana ni vurugu tuu… barabara za magari ya mwendokasi zimekuwa za kila mtu na sasa haitachukua muda mrefu usafiri wa mwendokasi utakufa rasmi!
 

Attachments

  • IMG_3090.jpeg
    IMG_3090.jpeg
    1.1 MB · Views: 3
Tangu Bashungwa amekabidhiwa wizara hii ni wazi na ukweli ulio wazi ameharibu kila kona hasa kule Tanroad!

Cha kushangaza zaidi ni uamuzi wake wa kuruhusu barabara ambazo hazikabidhiwa kuanza kutumika hasa za mwendokasi…..hakuishia hapo na Sasa kwa kushirikiana na chalamila wamevuruga kabisa utaratibu barabarani hasa Dares salaam maana ni vurugu tuu… barabara za magari ya mwendokasi zimekuwa za kila mtu na sasa haitachukua muda mrefu usafiri wa mwendokasi utakufa rasmi!
Kwa akili yako hao nao ni viongozi?
 
Tunaomba hili lidhibitiwe mapema sana even tomorrow, barabara hizi zina heshima yake ya kipekee kabisa katika ukanda wa Afrika, sasa tunazivunjia heshima yake tumpatie uendeshaji wa mwendo kasi mtu mwenye uzoefu kama ABOOD BUS!
Barabara za mwendokasi ni za mwendokasi! Ni ujinga mkubwa kutaka kuziharibu kwa maamuzi ya hovyo kabisa
 
Tangu Bashungwa amekabidhiwa wizara hii ni wazi na ukweli ulio wazi ameharibu kila kona hasa kule Tanroad!

Cha kushangaza zaidi ni uamuzi wake wa kuruhusu barabara ambazo hazikabidhiwa kuanza kutumika hasa za mwendokasi…..hakuishia hapo na Sasa kwa kushirikiana na chalamila wamevuruga kabisa utaratibu barabarani hasa Dares salaam maana ni vurugu tuu… barabara za magari ya mwendokasi zimekuwa za kila mtu na sasa haitachukua muda mrefu usafiri wa mwendokasi utakufa rasmi!
Nililiona hili mapema kabisa na nikatahadharisha
 
Tangu Bashungwa amekabidhiwa wizara hii ni wazi na ukweli ulio wazi ameharibu kila kona hasa kule Tanroad!

Cha kushangaza zaidi ni uamuzi wake wa kuruhusu barabara ambazo hazikabidhiwa kuanza kutumika hasa za mwendokasi…..hakuishia hapo na Sasa kwa kushirikiana na chalamila wamevuruga kabisa utaratibu barabarani hasa Dares salaam maana ni vurugu tuu… barabara za magari ya mwendokasi zimekuwa za kila mtu na sasa haitachukua muda mrefu usafiri wa mwendokasi utakufa rasmi!
Unataka ufe mara gapi?
 
Tangu Bashungwa amekabidhiwa wizara hii ni wazi na ukweli ulio wazi ameharibu kila kona hasa kule Tanroad!

Cha kushangaza zaidi ni uamuzi wake wa kuruhusu barabara ambazo hazikabidhiwa kuanza kutumika hasa za mwendokasi…..hakuishia hapo na Sasa kwa kushirikiana na chalamila wamevuruga kabisa utaratibu barabarani hasa Dares salaam maana ni vurugu tuu… barabara za magari ya mwendokasi zimekuwa za kila mtu na sasa haitachukua muda mrefu usafiri wa mwendokasi utakufa rasmi!
DAAH unasubiria kifo cha ngapi cha huo mradi wa mwendokasi?
 
Wachache sana watakuelewa... Serikali inayolea uchawa haiwezi kuendesha biashara nyeti kwa faida ya muda mrefu!
Ujinga wa watanzania huu, kazi za usafirishaji zina taratibu zake, zina teknik zake zina miiko yake si kila mtu anaziweza, haziihitaji usimamizi wa kiofisi kama bosi kubwa ni kazi za akili sana siyo lelemama!
 
Back
Top Bottom