Kupitia Bashungwa na Chalamila sasa Usafiri wa mwendokasi unakwenda kufa rasmi kama ilivyo Tanroads

Kupitia Bashungwa na Chalamila sasa Usafiri wa mwendokasi unakwenda kufa rasmi kama ilivyo Tanroads

Tangu Bashungwa amekabidhiwa wizara hii ni wazi na ukweli ulio wazi ameharibu kila kona hasa kule Tanroad!

Cha kushangaza zaidi ni uamuzi wake wa kuruhusu barabara ambazo hazikabidhiwa kuanza kutumika hasa za mwendokasi…..hakuishia hapo na Sasa kwa kushirikiana na chalamila wamevuruga kabisa utaratibu barabarani hasa Dares salaam maana ni vurugu tuu… barabara za magari ya mwendokasi zimekuwa za kila mtu na sasa haitachukua muda mrefu usafiri wa mwendokasi utakufa rasmi!
Bi Urojo atoke haraka hapo, as the matter of fact system nzima ya utawala wa nchi inanuka uozo kuanzia juu kabisa kwa kiranja mkuu mpaka wateule wake. Wananayaona yote hivyo obviously yanayoendelea yana baraka zao.
 
Waziri Bashungwa yupo smart sana ila RC ndio amekosea ku program matumizi ya hizo barabara. Namna sahihi ilikuwa ni kuruhusu gari za private pekee zitumie barabara ya mwendokasi huku za biashara zikibakia kwenye njia za kawaida.

Huwezi kuruhusu gari zote zitumie barabara ya mwendokasi ikiwemo daladala ambazo ndio mabingwa wa kusababisha foleni. Altleast boda boda wao hawanaga vituo njiani.
 
Back
Top Bottom