Kupitia Botswana na Msumbiji naiona Tanzania mpya kabla sijatoweka.

Kupitia Botswana na Msumbiji naiona Tanzania mpya kabla sijatoweka.

Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
7,672
Reaction score
9,039
Kwa wakongwe kama mimi, wanajiuliza, nini tutaona mageuzi ya maana na ya kweli. Walipofanya kweli Kenya, Malawi, na Zambia tulidhani ni wimbi na wingu vya kupita. Juzi tu, tuliona moto wa mageuzi na mapinduzi ukiwashwa kule Afrika Kusini ambapo ANC iliponea chupuchupu kujikuta pakanga. Kalba joto kupoa Botswana walifanya kweli. Msumbiji hawakubaki nyuma. Tunapoandika Frelimo haijui kama itaendelea kuula au kuliwa. Hakika, katika uhai wangu, naona ndoto ya Tanzania mpya kutoka mikononi na midomoni mwa machwa na kunguni. A Luta Continua. Mapambano Yaendelee na Kazi ya kufutulia na kuvunjilia chawa mbali iendelee. Je wewe unasemaje dugu yangu?
 
..swali ni kama Tanzania tutafuata njia ya Botswana, au tutafuata njia ya Msumbiji?
 
Bwashee kwani unajua utatoweka lini? We jaribu kumpangia Mungu sasa uje ukione cha mtemakuni!
 
Kwa wakongwe kama mimi, wanajiuliza, nini tutaona mageuzi ya maana na ya kweli. Walipofanya kweli Kenya, Malawi, na Zambia tulidhani ni wimbi na wingu vya kupita. Juzi tu, tuliona moto wa mageuzi na mapinduzi ukiwashwa kule Afrika Kusini ambapo ANC iliponea chupuchupu kujikuta pakanga. Kalba joto kupoa Botswana walifanya kweli. Msumbiji hawakubaki nyuma. Tunapoandika Frelimo haijui kama itaendelea kuula au kuliwa. Hakika, katika uhai wangu, naona ndoto ya Tanzania mpya kutoka mikononi na midomoni mwa machwa na kunguni. A Luta Continua. Mapambano Yaendelee na Kazi ya kufutulia na kuvunjilia chawa mbali iendelee. Je wewe unasemaje dugu yangu?
mageuzi hayafanywi mradi yafanywe,muhimi nani anafaidika na mageuzi hayo
 
Kila kitu kinakwenda vizuri sana, tuibadilishe ccm kwa kipi kibaya, Afrika nzima kwa sasa inaishangaa Tanzania kwa kasi kubwa ya kiuchumi,
#Tufanye kazi, tuache blah blah!
 
Tanzania bila Samia inawezekana.
 
Kwa wakongwe kama mimi, wanajiuliza, nini tutaona mageuzi ya maana na ya kweli. Walipofanya kweli Kenya, Malawi, na Zambia tulidhani ni wimbi na wingu vya kupita. Juzi tu, tuliona moto wa mageuzi na mapinduzi ukiwashwa kule Afrika Kusini ambapo ANC iliponea chupuchupu kujikuta pakanga. Kalba joto kupoa Botswana walifanya kweli. Msumbiji hawakubaki nyuma. Tunapoandika Frelimo haijui kama itaendelea kuula au kuliwa. Hakika, katika uhai wangu, naona ndoto ya Tanzania mpya kutoka mikononi na midomoni mwa machwa na kunguni. A Luta Continua. Mapambano Yaendelee na Kazi ya kufutulia na kuvunjilia chawa mbali iendelee. Je wewe unasemaje dugu yangu?
tatizo la watanzania wakisikia ata sauti ya baruti wanjificha!!!
 
Back
Top Bottom