Continental Ground
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 1,907
- 3,895
Hesabu ndogo hivi unachemka, hesabu za kundi lote kama wewe ndio mhasibu utakuja ulipe madeni yasiyo na kichwa wala miguu.Karibu kwenye ya kwetu kila wiki tuna weka Tsh 1.5M tuko members 20 kwa mwaka siyo hela nyingi kila mmoja anatoa Million 312
Kwa pamoja tunakua tuna Billion 6 na million 240 tunaanzisha kiwanda kidogo cha kuchakata maziwa
Jambo kama hili linaishiaga kwenye uhasama. Kuna watu hapa lazima walizwe.Karibuni katika mchezo wa kuchangiana pesa kila wiki 400,000, Kwa mwaka mzima (wiki 52). Kila mwanachama anayestahili kupokea kwa wiki husika tunamkabidhi gari isiyozidi (TSH. 20m) toka yard ambayo tuna mkataba nao Dar es Salaam.
NB: Kwa sasa tupo 14 Ila tunatazamia Kuwa 20 (mwisho). Kuwa mwanachama Lazima uwe na shughuli za kukuingizia kipato na mdhamini pia utalazimika kusaini mkataba chini ya Mwanasheria (wakili Msomi) wa kikundi.
**Utaratibu huu unaanza tarehe 01 Oktoba 2024.
***Bima Kwa majanga na kifo kwa wanachama vimezingatiwa.
1.5m kwa wiki ni 78m kwa mwaka. Wewe ni tapeli mwingine kwenye huu uzi.Karibu kwenye ya kwetu kila wiki tuna weka Tsh 1.5M tuko members 20 kwa mwaka siyo hela nyingi kila mmoja anatoa Million 312
Kwa pamoja tunakua tuna Billion 6 na million 240 tunaanzisha kiwanda kidogo cha kuchakata maziwa
Tutakuajiri uwe muhasibu wetu ila utalamba mshahara wa laki na 20 kwa mwezi uko tayari?Hesabu ndogo hivi unachemka, hesabu za kundi lote kama wewe ndio mhasibu utakuja ulipe madeni yasiyo na kichwa wala miguu.
1,500,000 x 20 x 52 = 1,560,000,000/yr
Kwa mtu mmoja ni 78,000,000/yr
Kwa kikundi cha watu 20 ni 30,000,000/wk
Maandamano tarehe 23 yako palepale1.5m kwa wiki ni 78m kwa mwaka. Wewe ni tapeli mwingine kwenye huu uzi.
Mkuu,Hii ya wiki labda business people ila sio uwe employed
AiseeKaribuni katika mchezo wa kuchangiana pesa kila wiki 400,000, Kwa mwaka mzima (wiki 52). Kila mwanachama anayestahili kupokea kwa wiki husika tunamkabidhi gari isiyozidi (TSH. 20m) toka yard ambayo tuna mkataba nao Dar es Salaam.
NB: Kwa sasa tupo 14 Ila tunatazamia Kuwa 20 (mwisho). Kuwa mwanachama Lazima uwe na shughuli za kukuingizia kipato na mdhamini pia utalazimika kusaini mkataba chini ya Mwanasheria (wakili Msomi) wa kikundi.
**Utaratibu huu unaanza tarehe 01 Oktoba 2024.
***Bima Kwa majanga na kifo kwa wanachama vimezingatiwa.
Karibuni katika mchezo wa kuchangiana pesa kila wiki 400,000, Kwa mwaka mzima (wiki 52). Kila mwanachama anayestahili kupokea kwa wiki husika tunamkabidhi gari isiyozidi (TSH. 20m) toka yard ambayo tuna mkataba nao Dar es Salaam.
NB: Kwa sasa tupo 14 Ila tunatazamia Kuwa 20 (mwisho). Kuwa mwanachama Lazima uwe na shughuli za kukuingizia kipato na mdhamini pia utalazimika kusaini mkataba chini ya Mwanasheria (wakili Msomi) wa kikundi.
**Utaratibu huu unaanza tarehe 01 Oktoba 2024.
***Bima Kwa majanga na kifo kwa wanachama vimezingatiwa.
Kila siku 400 parefu.
Jamaa wanajilipa hiyo 800K Kila wiki kama management fee.Sasa si ni sawa wewe mwenyewe uhifadhi hizo 400k kila wiki, ndani ya wiki 52 utakuwa na 20,800,000...
Kwa mchezo mnaocheza itahitaji miaka 19 kila mtu kuwa na gari lake kwa thamani hiyo ya 20mil...
Labda uoneshe namna ya kukuza huo mtaji...
Idea imekaa poaWeek sio mbaya.
Mtu akichukua gari la mfano mil 15 chenji anarudishiwa?
Hata mfanyakazi akiamua anatoa 1.6m mwezi Kwa mweziHii ya wiki labda business people ila sio uwe employed
Labda huko kwenu KisijuJambo kama hili linaishiaga kwenye uhasama. Kuna watu hapa lazima walizwe.
Hicho ni kikundi ndugu. Ukitaka kujiwekea mwenyewe nani kakutaza? Punguzeni ujuajiJE mtu akiamua kujiwekea mwenyewe kwenye bank akaunti atakuwa kapoteza kitu?
Nitafirisi kundi, mie nataka 1000 tu kila week.Tutakuajiri uwe muhasibu wetu ila utalamba mshahara wa laki na 20 kwa mwezi uko tayari?