zagamba deo
Member
- Oct 27, 2014
- 52
- 28
Tofauti na Nchi nyingine Duniani zenye siasa ya Vyama vingi, Tanzania ndo Nchi pekee ambayo Vyama vikuu vya Upinzani havijui dhana halisi ya Upinzani. Vyama hivi Vikuu Kama CHADEMA, CUF, ACT, na NCCR Mageuzi vimekuwa Vyama vya *"UPINGAJI"* kuliko kuwa Vyama vya Upinzani.
Katika Nchi nyingine Vyama vya Upinzani huja na Sera mbadala kwa lengo la kuongeza ufanisi wa pale Utendaji wa Serikali inayomaliza muda wake ulipofikia. Jambo hili Kwa Tanzania ni tofauti.... Vyama vya Upinzani vimekuwa na tabia ya Kubeza kila Jambo linalofanywa na Serikali ya Chama Cha Mapinduzi bila kuangalia linawanufaisha Watanzania wengi kiasi gani.
Hivi kweli Sera za CHADEMA kuwa Serikali imewekeza kwenye Vitu na sio watu zinatija kwa sisi wananchi wa Hali ya Chini?
Vitu Kama Umeme, Madaraja, Vivuko, Meli, Ndege, Barabara, Treni/Reli, Hospital, Shule, Maji havina uhusiano na Maendeleo ya watu?
Chadema kubeza uwepo wa Miundombinu hii ambayo kwa miaka mitano Dr. John Pombe Magufuli ameweza kufanya vizur katika Ujenzi wake ni kuonyesha Ni kwa namna gani hawana Nia njema na sisi wananchi wanyonge tunaonufaika na Fursa za ajira zinazotokana na Ujenzi wa Miradi hii na hata kuajiriwa kuendesha Miradi hii.
Ni kupitia Miundombinu hiyo hiyo CHADEMA wanaitumia kufanya Kampen zao kwa Uhuru na amani na hakuna anayewabugudhi, Hii ndo CCM, Chama kinachofundisha siasa kwa Vitendo.
Ni muda sasa muafaka kwetu sisi Kama wananchi kuamua kwa kauli moja kuwapuuza wagombea wote wanaotaka kutumia Propaganda kutuaminisha Mambo ya uzushi. Tujipange kuichagua CCM maana ndicho Chama haswa chenye ilani inayotekelezeka kwa manufaa ya Watanzania wote.
CHAGUA JOHN POMBE MAGUFULI KAZI IENDELEE.
Katika Nchi nyingine Vyama vya Upinzani huja na Sera mbadala kwa lengo la kuongeza ufanisi wa pale Utendaji wa Serikali inayomaliza muda wake ulipofikia. Jambo hili Kwa Tanzania ni tofauti.... Vyama vya Upinzani vimekuwa na tabia ya Kubeza kila Jambo linalofanywa na Serikali ya Chama Cha Mapinduzi bila kuangalia linawanufaisha Watanzania wengi kiasi gani.
Hivi kweli Sera za CHADEMA kuwa Serikali imewekeza kwenye Vitu na sio watu zinatija kwa sisi wananchi wa Hali ya Chini?
Vitu Kama Umeme, Madaraja, Vivuko, Meli, Ndege, Barabara, Treni/Reli, Hospital, Shule, Maji havina uhusiano na Maendeleo ya watu?
Chadema kubeza uwepo wa Miundombinu hii ambayo kwa miaka mitano Dr. John Pombe Magufuli ameweza kufanya vizur katika Ujenzi wake ni kuonyesha Ni kwa namna gani hawana Nia njema na sisi wananchi wanyonge tunaonufaika na Fursa za ajira zinazotokana na Ujenzi wa Miradi hii na hata kuajiriwa kuendesha Miradi hii.
Ni kupitia Miundombinu hiyo hiyo CHADEMA wanaitumia kufanya Kampen zao kwa Uhuru na amani na hakuna anayewabugudhi, Hii ndo CCM, Chama kinachofundisha siasa kwa Vitendo.
Ni muda sasa muafaka kwetu sisi Kama wananchi kuamua kwa kauli moja kuwapuuza wagombea wote wanaotaka kutumia Propaganda kutuaminisha Mambo ya uzushi. Tujipange kuichagua CCM maana ndicho Chama haswa chenye ilani inayotekelezeka kwa manufaa ya Watanzania wote.
CHAGUA JOHN POMBE MAGUFULI KAZI IENDELEE.