Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukinunua LUKU au ukinunua petrol/diesel katika risiti utakayopewa angalia breakdown yake kisha rudi tena hapa.Tatizo la Magufuli ni kuamini kwamba miundombinu ni mali yake yeye na chama chake, na hiyo hupelekea kuchukia anapoona wasiomuunga mkono wanaitumia.
Pia hakuna serikali yoyote ile katika dunia hii ambayo haijengi miundombinu. labda tatizo la kutokusafiri na kutokujifunza toka kwa viongozi wenzake ktk nchi nyingine ndiyo kumepelekea Magufuli kuamini kuwa miundombinu ni mali yake yeye na chama chake.
Tatizo Magufuli mwenyewe anaamini kwamba hizo hela ni zake binafsi. Ndio maana amedirikivkujijengea wanja la ndege kwao, na ndo mana anagawia watu ovyo mabarabaraniMiudombinu ni ya watanzania. Tatizo ni kuandika mada as if mheshimiwa alitoa hiyo pesa mfukoni kwake.
Unataka Urithi auTatizo la Magufuli ni kuamini kwamba miundombinu ni mali yake yeye na chama chake, na hiyo hupelekea kuchukia anapoona wasiomuunga mkono wanaitumia.
Pia hakuna serikali yoyote ile katika dunia hii ambayo haijengi miundombinu. labda tatizo la kutokusafiri na kutokujifunza toka kwa viongozi wenzake ktk nchi nyingine ndiyo kumepelekea Magufuli kuamini kuwa miundombinu ni mali yake yeye na chama chake.
Ungepewa wewe ungekataaa Acheni Unafki kawapa watanzania wenzenu hajawapa wazunguTatizo Magufuli mwenyewe anaamini kwamba hizo hela ni zake binafsi. Ndio maana amedirikivkujijengea wanja la ndege kwao, na ndo mana anagawia watu ovyo mabarabarani
Ina maana upinzani kapla ya JPM walifanyia wapi kampeni zao.?
Utopolo ni kudhani unajua kumbe hujui. Halafu unajichanganya kishenzi yaani. Ok tuanze na paragraph yako ya mwisho kwenye reply; eti hao watumishi wa umma ulosema wanajenga miundombinu wanajenga kwa kufuata maelekezo ya nani?Acha ujinga,karibu kutumia akili hata za Darasa la nne. Miundombinu inajengwa kwa Kodi za watanzania,million 55,hazijengwi kwa michango ya Wana ccm...
Hakuna serikali isiyojenga miundombinu.Utopolo ni kudhani unajua kumbe hujui. Halafu unajichanganya kishenzi yaani. Ok tuanze na paragraph yako ya mwisho kwenye reply; eti hao watumishi wa umma ulosema wanajenga miundombinu wanajenga kwa kufuata maelekezo ya nani?...
Rekebisha kichwa cha habari yako,andika serikali ya Tanzania na siyo ya Magufuli.Pili,hatupingi kila kitu kama unavyoamini, kinachopingwa ni mbinu mnayotumia kuanzisha na kutekeleza huyo miradi mnayojisifia. Miradi huyo inafanywa kwa kodi za Watanzania wote bila kujalisha vyama vyao.Pia hatujawahi kupinga Ujenzi wa vituo vya afya Bali ni vichache mno kulinganisha na mahitaji,hivyo vituo vina uhaba mkubwa wa watoa huduma pamoja na dawa na vifaa tiba.Tofauti na Nchi nyingine Duniani zenye siasa ya Vyama vingi, Tanzania ndo Nchi pekee ambayo Vyama vikuu vya Upinzani havijui dhana halisi ya Upinzani. Vyama hivi Vikuu Kama CHADEMA, CUF, ACT, na NCCR Mageuzi vimekuwa Vyama vya *"UPINGAJI"* kuliko kuwa Vyama vya Upinzani....
Harafu eti magufuli ni PhD holder,yaani Tanzania Ina bahati mbaya sanaTatizo la Magufuli ni kuamini kwamba miundombinu ni mali yake yeye na chama chake, na hiyo hupelekea kuchukia anapoona wasiomuunga mkono wanaitumia.
Pia hakuna serikali yoyote ile katika dunia hii ambayo haijengi miundombinu. labda tatizo la kutokusafiri na kutokujifunza toka kwa viongozi wenzake ktk nchi nyingine ndiyo kumepelekea Magufuli kuamini kuwa miundombinu ni mali yake yeye na chama chake.
CHIZI KAROGWA TENA.!!!Rais wa JMT 2020-2025
View attachment 1565316
Kodi hawalipi ccm pekeyaoTatizo la Magufuli ni kuamini kwamba miundombinu ni mali yake yeye na chama chake, na hiyo hupelekea kuchukia anapoona wasiomuunga mkono wanaitumia.
Pia hakuna serikali yoyote ile katika dunia hii ambayo haijengi miundombinu. labda tatizo la kutokusafiri na kutokujifunza toka kwa viongozi wenzake ktk nchi nyingine ndiyo kumepelekea Magufuli kuamini kuwa miundombinu ni mali yake yeye na chama chake.
Tofauti na Nchi nyingine Duniani zenye siasa ya Vyama vingi, Tanzania ndo Nchi pekee ambayo Vyama vikuu vya Upinzani havijui dhana halisi ya Upinzani. Vyama hivi Vikuu Kama CHADEMA, CUF, ACT, na NCCR Mageuzi vimekuwa Vyama vya *"UPINGAJI"* kuliko kuwa Vyama vya Upinzani....
Tofauti na Nchi nyingine Duniani zenye siasa ya Vyama vingi, Tanzania ndo Nchi pekee ambayo Vyama vikuu vya Upinzani havijui dhana halisi ya Upinzani. Vyama hivi Vikuu Kama CHADEMA, CUF, ACT, na NCCR Mageuzi vimekuwa Vyama vya *"UPINGAJI"* kuliko kuwa Vyama vya Upinzani...