Kupitia UTT, Ninahitaji milioni 2 kila mwezi

Kupitia UTT, Ninahitaji milioni 2 kila mwezi

Southern Highland

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2017
Posts
14,938
Reaction score
25,405
Habari za wakati huu wapambanaji na msio wapambanaji. Naomba mwenye uelewa zaidi anisaidie katika hili hasa kupitia hii mifuko ya uwekezaji wa pamoja.

Ni kupitia mfuko gani wa UTT nitaweza kupata shilingi milioni 2 kila mwezi na kwa mtaji kiasi gani. Pia niliwahi kusikia unaweza kukopa bank kwa kupitia malipo haya ya kila mwezi.

Msaada wapambanaji
 
Kwa hesabu za haraka haraka ni miezi 100 ndio utaanza kula profit.
Ni miaka Nane na ushee hivi...tuseme umepata mkopo kutoka CRDB rate 13%
Utabidi uwalipe CRDB 2,260,000 Kwa mwezi ili ku pay off kwa miaka nane.
Roughly utakuwa unalipia laki tatu kwa mwezi--lakini matunda yako utayala baada ya miaka 8.
Bora ku-invest kwenye asset tangible kama viwanja---kwa mtaji huo.
Kila la kheri.
 
Kwa hesabu za haraka haraka ni miezi 100 ndio utaanza kula profit.
Ni miaka Nane na ushee hivi...tuseme umepata mkopo kutoka CRDB rate 13%
Utabidi uwalipe CRDB 2,260,000 Kwa mwezi ili ku pay off kwa miaka nane.
Roughly utakuwa unalipia laki tatu kwa mwezi--lakini matunda yako utayala baada ya miaka 8.
Bora ku-invest kwenye asset tangible kama viwanja---kwa mtaji huo.
Kila la kheri.
Mbona kama vile umeenda tofauti na nilivyouliza. Wanakata hiyo pesa wao wakiwa wamenipa/kunikopa kiasi gani
 
Habari za wakati huu wapambanaji na msio wapambanaji. Naomba mwenye uelewa zaidi anisaidie katika hili hasa kupitia hii mifuko ya uwekezaji wa pamoja.

Ni kupitia mfuko gani wa UTT nitaweza kupata shilingi million 2 kila mwezi na kwa mtaji kiasi gani. Pia niliwahi kusikia unaweza kukopa bank kwa kupitia malipo haya ya kila mwezi.

Msaada wapambanaji

200M
 
Wekeza ktk real estate na weka benki kiasi kidogo cha dharura. Real estates (majengo ya kupangisha,mashamba, viwanja n.k) hapo ndipo thamani ya pesa huwa haishuki.

Ila unapowekeza kwenye hiyo mifuko kwanza una risk pesa yako kukatwa kodi, kushuka thamani n.k kumbuka 200m ukiiweka leo kwenye hizo fixed accounts au bonds ukija kuitoa inakuwa imeshashuka thamani.
 
Wekeza ktk real estate na weka benki kiasi kidogo cha dharura. Real estates (majengo ya kupangisha,mashamba, viwanja n.k) hapo ndipo thamani ya pesa huwa haishuki.

Ila unapowekeza kwenye hiyo mifuko kwanza una risk pesa yako kukatwa kodi, kushuka thamani n.k kumbuka 200m ukiiweka leo kwenye hizo fixed accounts au bonds ukija kuitoa inakuwa imeshashuka thamani.
Mkuu sina hakika kama unazifahamu vizuri hizi bond fund?
 
Back
Top Bottom