Kete Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 21, 2014
- 6,656
- 6,886
Binafsi nikikorofishwa wiki mbili tatu kawaida kabisa achana na siku nne.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niniii jaman
Dah, pole sana aisee! una moyo wa uvumilimu kama shabiki wa cuf na arsenal, ningekuwa mimi ningekuwa nishamuacha, alikubali kuolewa ili iwaje!! inaudhi sana upo na mke mnalala kitanda kimoja sometimes naked afu yeye anakubania tendo, duh! mm nisingewezami nilipo ooa mke alinifanya nikawa mvivu kabisa wa mapenzi,akijisikia anakupa asipojisikia akupi na visingizio kibao,ukitekenya tu utasikia hivi hauna hata huruma?huoni leo nimeshinda kama naumwa vile?kua na roho ya kibinadam basi jamani,dahh nikisikia hivyo nageukia kushoto kabisa,mpaka leo naweza kukaa hata mwezi mzima bila kufanya na nimezoea kabisa.sina mchepuko wala
Umechoka na nn siku zote hizo, sasa mtu unabaniwa mechi mwezi mzima inakuaje hapo!unakuwa umechoka,huna hamu,arghhhh
unazipata somewhere else si unakua na back upSasa akiwa kwenye siku zake unafanyaje?!? Au akijifungua?
Mchepuko lazima ausikeunazipata somewhere else si unakua na back up
Nipo hapa[emoji1]Mungu asaidie nipate wa hivyo!
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Huyo ni msaidizi mkuu..sio mchepukoMchepuko lazima ausike
Naaam karibu kwenye chama cha wanaume ndugu mjumbe 😛😛😛Mm hata moja siwezi kwa kweli labda awe katika period
Una umri ganiNdo maana naogopa kuolewa kutokana na hiyo michezo mhh ko kila siku jamani si mnachokana duuh!!
Does it have anything to do with my age??Una umri gani
Yaaah, nataka kujaribu bahati yanguDoes it have anything to do with my age??
niachie mm! Nimetoka jera jana! Ninangunga!.Yaaah, nataka kujaribu bahati yangu
Umechoka na nn siku zote hizo, sasa mtu unabaniwa mechi mwezi mzima inakuaje hapo!
We sema kila siku mtachokana,hizo siku ambazo haumpi ataenda kwa mwingineNdo maana naogopa kuolewa kutokana na hiyo michezo mhh ko kila siku jamani si mnachokana duuh!!