Kupitisha siku nne bila kukutana kimwili na mke wako ni makosa

Kupitisha siku nne bila kukutana kimwili na mke wako ni makosa

Binafsi nikikorofishwa wiki mbili tatu kawaida kabisa achana na siku nne.
 
mi nilipo ooa mke alinifanya nikawa mvivu kabisa wa mapenzi,akijisikia anakupa asipojisikia akupi na visingizio kibao,ukitekenya tu utasikia hivi hauna hata huruma?huoni leo nimeshinda kama naumwa vile?kua na roho ya kibinadam basi jamani,dahh nikisikia hivyo nageukia kushoto kabisa,mpaka leo naweza kukaa hata mwezi mzima bila kufanya na nimezoea kabisa.sina mchepuko wala
Dah, pole sana aisee! una moyo wa uvumilimu kama shabiki wa cuf na arsenal, ningekuwa mimi ningekuwa nishamuacha, alikubali kuolewa ili iwaje!! inaudhi sana upo na mke mnalala kitanda kimoja sometimes naked afu yeye anakubania tendo, duh! mm nisingeweza
 
Umechoka na nn siku zote hizo, sasa mtu unabaniwa mechi mwezi mzima inakuaje hapo!

kwan sie hatupaswi kuchoka jaman!mfano mie ndo nnaingia jf toka asbh..uje uniombe sex aku kwakwel
 
ME wanaoa ili wapate uhuru wa kudinya muda wowote kadri inavyowezekana...
ila hawa KE wa siku hizi ndo wanasababisha upotevu wa nguvu za kiume za waume zao!
 
Back
Top Bottom