ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Wivu utamfanya akumwagie tindikali? Dah, kweli kupendwa raha[emoji13]Umenichoka eeeh... Unataka nimwagiwe tindikali eeh...
Pole kwa baridi mwaya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wivu utamfanya akumwagie tindikali? Dah, kweli kupendwa raha[emoji13]Umenichoka eeeh... Unataka nimwagiwe tindikali eeh...
Pole kwa baridi mwaya
Ni Dada yako sio mkeo huyo imezibwa hata aliyejifungua siku 60.Guys nyie wake zenu wakoje. Mie wa kwangu nikidai mchezo ni ugomvi, maana hataki kabisa. Huwa tunakaa hadi miezi3
Saa Moja under 18 mna tabu Sana.Hakika.yani ww ukiingiza tu kajongoo kako kanatema sumu nani anataka hyo?.lazma adengue.kaa kifuani angalau saa 1.
Ndio...Wivu utamfanya akumwagie tindikali? Dah, kweli kupendwa raha[emoji13]
Mkuu tutumie lugha yetu adhimu ya Kiswahili, inapendeza katika mijadala kama hii, na pia itatusaidia sisi tusioelewa lugha hiyo ya majahazini.How to much time to know if you can handle to the last!!
Amka haraka sana huko ulipo, kuna jamaa mmoja au zaidi ya mmoja wanakusaidia kumkuna..Guys nyie wake zenu wakoje. Mie wa kwangu nikidai mchezo ni ugomvi, maana hataki kabisa. Huwa tunakaa hadi miezi3
A massive turn on!kwakweli hapa unaweza pigwa dudu mpaka upoteze fahamu.Akikaa siku 2 hajanigusa namgusa mimi. Sijaja kula pilau hapo kazi kazi
mi nilipo ooa mke alinifanya nikawa mvivu kabisa wa mapenzi,akijisikia anakupa asipojisikia akupi na visingizio kibao,ukitekenya tu utasikia hivi hauna hata huruma?huoni leo nimeshinda kama naumwa vile?kua na roho ya kibinadam basi jamani,dahh nikisikia hivyo nageukia kushoto kabisa,mpaka leo naweza kukaa hata mwezi mzima bila kufanya na nimezoea kabisa.sina mchepuko wala
Hapo ndo michepuko inapowapiga baokwakwel na mm nipo hvyo!kinachokera huwa hamjiulizi KUNANI!possibilities za kumboa ni kubwa sana sana hakuambii tu
Khaaa[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji125] [emoji125]sik 4 kwan mnataka nn !kwang chache aisee labda 14dys
Wakishaolewa ndo walivo mkuu, hata hivyo hongera kwa moyo wa uvumilivu, angekuwa mwingine hapo tayari ana michepuko yake kadhaa, waifu akizingua tu anaenda kujilia zake mchepukomi nilipo ooa mke alinifanya nikawa mvivu kabisa wa mapenzi,akijisikia anakupa asipojisikia akupi na visingizio kibao,ukitekenya tu utasikia hivi hauna hata huruma?huoni leo nimeshinda kama naumwa vile?kua na roho ya kibinadam basi jamani,dahh nikisikia hivyo nageukia kushoto kabisa,mpaka leo naweza kukaa hata mwezi mzima bila kufanya na nimezoea kabisa.sina mchepuko wala
Sasa akiwa kwenye siku zake unafanyaje?!? Au akijifungua?Kuna watu huwa wanapitisha siku nne kwani mimi the best i can wait ni siku mbili
Akijifungua je?Mm hata moja siwezi kwa kweli labda awe katika period