Kupitisha siku nne bila kukutana kimwili na mke wako ni makosa

Kupitisha siku nne bila kukutana kimwili na mke wako ni makosa

Mi bado nalala na nguo masikini...
 
Yakipita masiku manne hujamgusa binti ya watu ni makosa!![emoji30][emoji30][emoji30]
 
Shehe ubwabwa anawaza umalaya tu hawa mashehe ilmu yao wengi ni darasa la kwanza au la pili hawajui kitu. Ndio mana wengi ni wabakaji. Anaacha kufundisha mambo ya maana anafundisha uzinzi
Sheeder mzee mwenzangu hawa jamaa.....
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji126] [emoji126] [emoji126] nina wasi wasi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] usinifanyie hivyo ledada sio vizuri ujue[emoji125] [emoji125]
 
Back
Top Bottom