Tunaelewa kuwa kijana akitaka kuoa lazima apeleke mahari aliyopangiwa upande wa msichana, suala la kupokea mahari PESA , ni sawa na kumuuza binti yako kwa mwanaume. Hapa mnabadilishana kibiashara zaidi, unatoa PESA unapata MKE.
Kwa kifupi hapa tunaendeleza biashara ya kuuzana kama enzi za utumwa tu, kama watu wamependana wao, wewe mzazi kwa nini udai PESA/ mahari? Kama sio biashara ni nini hiyo? Na ndio maana wanawake wanapigwa na kuteswa na waume zao, si wamewanunua kwa pesa bwana?
Kwa kifupi hapa tunaendeleza biashara ya kuuzana kama enzi za utumwa tu, kama watu wamependana wao, wewe mzazi kwa nini udai PESA/ mahari? Kama sio biashara ni nini hiyo? Na ndio maana wanawake wanapigwa na kuteswa na waume zao, si wamewanunua kwa pesa bwana?