Na hicho ndio sisi wabongo wengi hatutaki maana vipato vyetu havituruhusu kwa tulio wengi. Itashangaza utese familia kisa gari kama brevisWatu wanapenda kitonga.. Brevis ni mnyama ni gari ya kazi kama una mkono wa birika ni ngumu kuimiliki
Sent from my LM-V500N using JamiiForums mobile app
RPM max ngapi kupata 13km/l kwenye 4GR? Combined fuel rate ngapi?Ni kweli kabisa wala sio kamba, ndio maana kasema kwa mweneshaji mzuri, kama huzingatii rpm...13km/l utaisikia kwenye bomba.
Isizidi 2000 (2), crown ina nguvu rpm ikivuka moja tu chuma inasepa, usiilazimishe acha gari iende yenyewe utakuja kunishukuru baadae. Zingatia usipende kupata speed kubwa kwa muda mfupi itakughanimu kwenye mafuta maana rpm lazima iende juu sana. Kama ulishafatilia waendeshaji weng wa crown ni wastaarabu sana huwezi sikia muungurumo wa crown labda iwe mbovu, huwa zipo kimya kimyaaaa.RPM max ngapi kupata 13km/l kwenye 4GR? Combined fuel rate ngapi?
Waliotengeneza wanasem ni 9.7km/l hio ikiwa mang'anyu. Ikifikia stage ya Used inashuka hadi around 8+km/l ikifika used bongo utakuta lina 6km/l na hapo ndipo ramli chonganishi zinaanzaga 🤣🤣🤣Mkuu brevis inafika 10km/l
Hahahahah crown huwa kama inateleza tu ukiegesha mguu 🤣Isizidi 2000 (2), crown ina nguvu rpm ikivuka moja tu chuma inasepa, usiilazimishe acha gari iende yenyewe utakuja kunishukuru baadae. Zingatia usipende kupata speed kubwa kwa muda mfupi itakughanimu kwenye mafuta maana rpm lazima iende juu sana. Kama ulishafatilia waendeshaji weng wa crown ni wastaarabu sana huwezi sikia muungurumo wa crown labda iwe mbovu, huwa zipo kimya kimyaaaa.
TRA wanacheza nyimbo zenu, mkishobokea sana gari wanaipandisha kodi ili wale zaidi.Aisee kumbe bei zimepanda hivi? Mpaka 17m ?
Hio ni efficiency ikiwa used bongo. Used Japan zinakujaga na 9.7km/l ambayo ni nzuri. Ikiwa abused na mbongo kwa SAE 40 na plug za 10K lazma itadrop hadi kufikia 6km/l
Gari yoyote ya Toyota ukiwa na soft foot haili wese. Hasa hizi zenye VVT-i tech.RPM max ngapi kupata 13km/l kwenye 4GR? Combined fuel rate ngapi?
Kweli ni jiniWaliotengeneza wanasem ni 9.7km/l hio ikiwa mang'anyu. Ikifikia stage ya Used inashuka hadi around 8+km/l ikifika used bongo utakuta lina 6km/l na hapo ndipo ramli chonganishi zinaanzaga 🤣🤣🤣
Tuma pichaKuna jamaa yangu yuko kinondoni analiuza 3M cash namba DH , jana kapewa 2.9 kakataa kama unalitaka sema
Hivi haya magari shida nn mbona kama watu wanayakataa kimtindoMbona bei kubwa hivyo? Nipe 4.5m nikupe Brevis namba DLE.
Ni hivi gari used hasa sedan za engine kubwa hazina demand kubwa hivyo kupelekea bei kuwa chini. Sio Brevis tu hata MarkX au Crown bei huwa chini
Cown ni gari zipi jombaa?? Ndio mara ya kwanza nazisikiaNani anakimbili Brevis.....unaweza kaa miezi 6 usione namba E. Mm binafsi mpaka sasa sijaona Brevis namba E najua hata kama zipo ni zakutafuta kwa tochi, lakin Cown zipo za kumwaga
Nilitegemea hilo swali aniulize mtoto wa chekechea hata kama kuna hitilafu ya kimaandishi inamaana huelewi hata kinachozungumzwa..... kama huelewi hilo ni tatizo lako binafsi.Cown ni gari zipi jombaa?? Ndio mara ya kwanza nazisikia
Kwa highway ni sawa jombaa, mimi Mark X nilishatembea kwa 17km/L speed 80kmph.Mkuu V6 petrol Toyota Kwa 13km/l sio kamba kweli?
Mkuu changamsha genge tu, mizinguo tu ili sredi iende[emoji23][emoji23]Nilitegemea hilo swali aniulize mtoto wa chekechea hata kama kuna hitilafu ya kimaandishi inamaana huelewi hata kinachozungumzwa..... kama huelewi hilo ni tatizo lako binafsi.
Mkuu highway unamaanisha ukitoka Dar-Moro au Kimara-Posta? Stop and Go traffic sidhani kama kuna V6 itakuacha salama. Kama kuna mwenye crown naomba picha ya 13km/l ikiwa kwenye foleni au hata 9km/lKwa highway ni sawa jombaa, mimi Mark X nilishatembea kwa 17km/L speed 80kmph.