Nadhani maintainance, Brevis kwa mwezi inakula kodi ya nyumba, kama unaiweza haina shida. Passo nadhani iko weak sana (body na engine), hivyo maintainance mara kwa mara ila mafuta kiduchu.BREVIS na PASSO bei zake huwa sielewi why zinakuwaa chini hata kama gari unaonaa ni mpyaa na kali sanaa.
Kuchomoka inachomoka 🔥Wese, raia wengi maisha ya kubangaiza...
Pia mafundi wengi wanaigwaya engine yake, shida kidogo ya engine wanahenya kweli kweli...
Ila ni gari moja matata sana kwenye kukata upepo..
Crown ziko standard sana kilomita 12 unatoboa freshi tu ..watu wengi wanoengelea kula mafuta sana hawajazitumia wanasikia tu stori baada ya kusikia engine capacity ..crown zile gari zimeboreshwa sana wamezibalance na umeme ulaji wake wa mafuta sio mkubwa kama watu wanvyotishana...Bora useme ww unaeimiliki mkuu labda wanaweza kuamini, halafu wengi wanao bisha hawajawahi kumiliki Crown, hvyo wanavyosikia ina injini kubwa wanaamin lazima ile mafuta kumbe mambo ni tofauti. Kuna clip moja niliona Crowni ipo 180km/h halafu rpm ndio inakaribia kwenye 4 sasa hapo itakulaje mafuta? Wakati gari nyingine ukifika speed 150km/h rpm inakabia kwenye 5.
mh!mkuu hii ya kwako nayo mpya,ukileta kaimahesabu haiji kabisa,labda pikipiki,,full tank ya allex ni 50 litres,robo tank ni 12.5 litres,Itakuwa uliendesha mwendo mkali sana, nakumbuka niliwahi kutembea na Allex ya cc 1496 Km 485 nikatumia robo tank...hvyo nilikuwa na uwezo wa kurudi nilipotoka, kama ist yako ni 1290 umetumia mafuta mengi. Labda ingekuwa 1496 zen ni AWD.
Lakini hata hivyo niliwahi kuona mdau humu akisema alikuwa na Ist ya 1496 AWD alikuwa akiweka lita 10 alikuwa anapata 210Km.
Mazda ile tech yao ya Skyactiv ni bonge moja la tech, hata ukute engine kubwa ya petrol bado ina consumption nzuri tu.Asante umemweleza vizuri…usiforce gari kuchange gear
Kuna mtu uendeshaji wake hata IST haimpi 15km
Ni kweli crown engine kubwa lkn ina teknolojia nzuri
Piaa mwambie jamaa afatilie kuna gari inaitwa mazda cx-5 diesel 2200cc huko atapata mpk 18km/L sawa na passo yenye piston 3 na wala gari sio hybrid
Premio za Cc2000 watu hawazinunui sana siyo kwa sababu ya Consumption. Ila kwa sababu ya aina ya engine.Premio la,ima iwe kimbilio zaid kwa sababu yenyewe inatembea km nyingi kuliko crown, ns ndio maana premio zilizojazana hapa bong ni za cc 1496 na kidogo zinafata 1790 zile zenye cc 2000 ni za kutafuta kwa tochi na hazina soko kabisa.
Premio za Cc2000 watu hawazinunui sana siyo kwa sababu ya Consumption. Ila kwa sababu ya aina ya engine.
Premio ya Cc1990 haitofautiani kabisa consumption na premio ya Cc1790
Najua huwezi amini ila ndio ipo hvyo, nilifikka Morogoro mshale bado upo kwenye F, tatizo ni uendeshaji mkuu, speed kumbwa ambayo nilitembea siku ile ni 120km/h na ni kule dumila kuna sehemu hakuna 50 kipande kirefu sana.mh!mkuu hii ya kwako nayo mpya,ukileta kaimahesabu haiji kabisa,labda pikipiki,,full tank ya allex ni 50 litres,robo tank ni 12.5 litres,
485km/12.5litres=38.8km kwa litre 1?mh hii ngumu,labda kama mimi sijaelewa.
Na yote hii ni kwa sababu ya kukaririshwa kuwa injini yoyote kubwa inatumia mafuta mengi zaidi kumbe sio zote.Premio za Cc2000 watu hawazinunui sana siyo kwa sababu ya Consumption. Ila kwa sababu ya aina ya engine.
Premio ya Cc1990 haitofautiani kabisa consumption na premio ya Cc1790
Wabongo ni watu wakukariri sana pia wanatishana sana..wanataka utumie IST tu ndio kitu walichoambianaNa yote hii ni kwa sababu ya kukaririshwa kuwa injini yoyote kubwa inatumia mafuta mengi zaidi kumbe sio zote.
Premio ya 2000cc hadi imekosa soko kisa eti ina injini kubwa na watu wanaambiana kabisa usinunue premio yenye injini kubwa.
Ni kweli kabisa, niliwahi kuona be forward wakielezea kuwa Ist old ya cc 1290 inatembea km14 had 18 wakati Ist ya 2009 inatembea km 18 hadi 23 kwa lita, hapo ndio utashangaa hadi leo watu wanakimbilia Ist old na ni kwa sababu ya kufata mkumbo tu.Wabongo ni watu wakukariri sana pia wanatishana sana..wanataka utumie IST tu ndio kitu walichoambiana
Premio ya Cc2000 inakupa performance karibu sawa na engine ya Cc2400 with consumption ya engine ya Cc1800.Na yote hii ni kwa sababu ya kukaririshwa kuwa injini yoyote kubwa inatumia mafuta mengi zaidi kumbe sio zote.
Premio ya 2000cc hadi imekosa soko kisa eti ina injini kubwa na watu wanaambiana kabisa usinunue premio yenye injini kubwa.
vp ulaji wa gx 110 na crown.Premio ya Cc2000 inakupa performance karibu sawa na engine ya Cc2400 with consumption ya engine ya Cc1800.
Utunzaji tu...
Crown safari ndefu kama unaendesha vizuri inaweza kukupa somewhere 12km/l mpaka 14km/l.vp ulaji wa gx 110 na crown.
Abs Master ya Brevis huwa inakufa mara kwa mara kwa sababu zipi?Mm ninachoelewa watu hukimbia changamoto inayowatesa na kwenda kwenye unafuu, kwann uteseke na gari ambayo kuna mbadala wake na nikali hata kimuonekano?
Brevis inzingua sana Abs master na bei yake ni laki 7 na kuendelea, na unaweza kufunga leo ukakaa nayo muda kidogo tu ikafa tena, changamoto hii imewafanya watu wengi kichukia Brevis....ndio maana watu wakaona wajisalimishe kwa mnyama Crown ambaye hana changamoto kama hyo.
W jiulize kwann Crown ni vigumu kushuka bei hadi sasa na wakati ina matoleo ya mapya zaidi. Inamaana haiwaboi wamiliki wake, inawapa wanachohitaji.
Crown au brevisMimi Sina gari Wala utaalamu na magari ila nishakutatana na mauzo mengi ya hizo gari Kwa bei ya M 6 Hadi 7 Tena yakiwa kwenye Hali nzuri kabisa. Wengi wa wanaouza wanadai ni gharama kwenye kuyahudumia hasa Mafuta wanasema haya magari yamekuwa kama majini yanayokunywa damu, na pia spea zake ni ghali kidogo. Sasa sijui ni kweli ama la!
Inakuaje sijui altezza cc 1900 lakini inakula sawa na kina crown,brevis na mark x zenye cc 2500?Engine kubwa. Wengi wanaogopa cc2500 au cc3000 especially watu wa misele.
Brevis hizoCrown au brevis