Kuporomoka kwa Bei ya Brevis

Wazee wa altezza uwa hawajali rpm 😂
 
Brevis gari ya maana sana barabarani. Ina nguvu kubwa sana, yaani ndiyo gari inafaa kuendeshwa na Mwanaume. Unakuta Mwanaume anaendesha vitz. Ist na zingine halafu anataka atambe Kwa brevis. Gari lazima itumie mafuta
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…