komasalonde
JF-Expert Member
- Sep 9, 2024
- 1,783
- 2,479
Inakera, ila hatujifunzi. Kuanzia viwango vya material, nondo, cement, ufundi na usimamizi. Baada ya tukio, je vifaa vya uokoaji vipo ? Kama havipo kwa nini?Muda huu mtaa wa Congo Kariakoo l uokoaji unawndelea.
Tuwaombee wnzetu wapone
===
Ghorofa moja katika Mtaa wa Congo na Mchikichi limeporomoka , hadi sasa hali ya majeruhi au vifo haifahamika lakini kwa mujibu wa mashuhuda kulikuwa na watu katika ghorofa hilo
View attachment 3153537
View attachment 3153536
View attachment 3153546
au kutumia AI programmes.