babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Cheap labour,ghorofa linadondokaje kwanza? Hapo usishangae kajenga mchina.
Alafu bado ukishangaa hili kuna juzi mtu kaweka post kuna mall kubwa inajengwa kuliko mlimani city.
Sawa,kuinua nguzo juu wameweka miti badala ya zege la nondo linaloeleweka
Alafu bado ukishangaa hili kuna juzi mtu kaweka post kuna mall kubwa inajengwa kuliko mlimani city.
Sawa,kuinua nguzo juu wameweka miti badala ya zege la nondo linaloeleweka
. Wachache watakuelewa inaweza kuwa ni tukio "Chambo"