JourneyMan
Member
- Apr 1, 2020
- 42
- 50
hivi kuna tv yeyote inayofanya live coverage ya hili tukio?
Huyo Mungu kwanini hakuzuia ghorofa lisiangukeMungu awanusuru waliokwama kwenye kifusi
Zimamoto walishafika na mitungi ya Oxygen hii ni hatua muhimu sanaUnasuburi masaa 5 watu wana suffocate kwenye vifusi, huu utaalam au uzembe🚮
Muliro angevuta chap kutoka Msimbazi Station.Yeah! Hiyo ni Mamlaka kweli na walitosha kutoa Tamko. Lakini je, walikuwa na vikosi vyao?
Ilibidi tuanze kulaani kwanza hammas walipoanza kuwateka waisraelKutokulaaani wanayofanyiwa Wapalestina Ghaza, ndiyo tunaonjeshwa adha yake.
Duu! Unafurahia binadamu mwenzako kupata maafa kweli?Safi Sana
kazi iendelee
Uokoaji sasa hivi ni jeshi kabisa sio kikosi kama zamani. Linaitwa jeshi la zimamoto na uokoaji, je wana vifaa vya kufaa na kutosha kwa maafa ? Kama vifaa vipo je wana mafunzo ? Aliwahi kuzama mtu mmoja katika dimbwi la mvua, zimamoto walishindwa kumuopoa Hadi akatafutwa raia mtaalam wa kuopoa maiti waliozama tena bila vifaa.Ndio nilichomaanisha, huwezi kulazimisha polisi kuingia kwenye kazi isiyo taaluma yao na wakaharibu halafu mtawalaumu
Tukigundua hili jengo lilijengwa wakati wa JPM itabidi tufanye Nini?Kila siku maghorofa yanaota kama uyoga na hayazingatii ubora wa ujenzi.Huyu mama Abdul karuhusu uholela kufanyika nchini.Ajiuzulu Nchi imemshinda.
Shujaa Majaliwa wa ajali ya Precision Air kule Bukoba anatosha. Sijui leo yuko wapi.Viongozi wetu Kununua maV8 wanajua ila kuboresha jeshi la uwokozi haiwahusu!
Mnaweza kulaumu mafundi wa jengo kumbe tatizo wala halijatokana na ubora wa jengo bali taweza kuwa mzigo ulio wekwa juu ni mkubwa kulingana na uwezo wa jengo ,sasa hapo fundi anahusiajeSio kuanzia viwango vya material bali hata Utaalam wa wale wanaojenga i.e kiwango cha Ufundi na Uzoefu. Mtu hajawahi kujenga ghorofa ila anauzoefu wa kujenga hizi nyumba za kawaida au mtu amehitimu Chuo kikuu ( Engineering..) lakini hana uzoefu wowote wa Field hata kidogo bali anauzoefu wa kujenga kwenye Kompyuta.au kutumia AI programmes.
Wakati wa ujenzi mafundi,saidia fundi n.k. huvaa helmet.
Tatizo watanzania tunapenda kufanya vitu kwa mazoweya japokua utaratibu unajulikana sema watu wengi hwapendi kuufuata,na rushwa ndiyo chanzo cha yote hayo!!Absolutely.
Kiutaratibu site zenye shughuli za ujenzi ( aidha kujenga au kubomoa) huwa zinatakiwa kuwekewa uzio ( fence) ya 'hoarding,' sijui ni kwa nini kwenye hilo jengo hapakuwekwa huo utepe mwekundu au hoarding fence??
Hilo ni jingine kama la shule za kisasa bila ya walimu Wenye ujuzi stahikiUokoaji sasa hivi ni jeshi kabisa sio kikosi kama zamani. Linaitwa jeshi la zimamoto na uokoaji, je wana vifaa vya kufaa na kutosha kwa maafa ? Kama vifaa vipo je wana mafunzo ? Aliwahi kuzama mtu mmoja katika dimbwi la mvua, zimamoto walishindwa kumuopoa Hadi akatafutwa raia mtaalam wa kuopoa maiti waliozama tena bila vifaa.
Kama huna jema la kusema/andika kuna wakati ni busara kupita kimya pia. Mbona maisha yangeendelea tu kwako.Mungu anusuru nini tena hapo, kama ameshindwa kuwakomboa mapema .
Mi nilipitia kwa mchepuko, nashukuru Mungu mchepuko umeniokoa na kila siku nitauheshimu mchepuko wangu!!Na kama ulikuwa unaichukulia poa jumuiya kwa kusema upo busy na kazi basi ukiokoka hapo hakuna siku utaacha kwenda.
Mungu hawezi kupangua hizo nondo wala Tofali mpaka hao watu watoke, Nguvu zetu binafsi na uharaka wa kurespond kutoa msaada, Hiyo ndio solution...Kama huna jema la kusema/andika kuna wakati ni busara kupita kimya pia. Mbona maisha yangeendelea tu kwako.
Kama ni mzigo lazima fundi sana sana mtaalam, ahusike. Uimara na ukubwa wa vifaa lazima uzingatie idadi ya watumiaji. Mfano. huwezi kujenga chumba cha kuhudumia watu 50 ukajengea nondo mm ndogo kuokoa gharama za ujenzi. Au ratio ya mfuko mmoja mchanga 4 wewe unaweka 7 kuokoa gharama pia,, hapo unajenga kaburi sio jengo.Mnaweza kulaumu mafundi wa jengo kumbe tatizo wala halijatokana na ubora wa jengo bali taweza kuwa mzigo ulio wekwa juu ni mkubwa kulingana na uwezo wa jengo ,sasa hapo fundi anahusiaje
Unfortunately!!!Kwani kila mwarabu ni muislamu? Kuna waarabu makafiri wakubwa kuliko wewe, wanawachukia waislam zaidi yako
tekinolojia tekinolojia tekinolojia, unabomoaje gorofa kwa kutumia nyundo na sululu?Hili ghorofa lilikuwa linabomolewa ndo likaporomoka lote