Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Waziri Mkuu aunda Tume ya watu maalumu 21 - Nov 22, 2024

Kuporomoka kwa Ghorofa Kariakoo Nov 16: Waziri Mkuu aunda Tume ya watu maalumu 21 - Nov 22, 2024


Habari wanajamvi.
Kuna clip ina trend mitandaoni, kuna Jengo limeporomoka Kariakoo na kuna watu wamefukiwa na kifusi.

Haya ndiyo yale majengo yaliyojengwa fasta usiku na mchana bila viwango

Mliopo Kariakoo tupeni habari.
 
Kwani ukiambiwa waokoaji kinachokujia akilini ni gari la zimamoto!!?
KUtokana na aina ya ajali iliotokea waokoaji waje na vifaa vya kufukulia kifusi kama backhoe, excuvator nk.
Sijaongelea uokoaji hapo nimesema gari ya zimamoto soma vizuri uelewe tulichokuwa tunakiongelea
 
Wabongo sasaaaa
Kilamtu na kisimu chake anachukua video yan dah tumekuwa wajinga wa kupitiliza mahala pa msaada vieo tuu.
Aibu sana
Acha bangi... kijana.
Jeshi la uokoaji na zima moto lipo hapa.
Umeambiwa watu wamekaa na kushangaa....habari ni lazima ili tufahamu nini kinaendelea kwa wenzetu waliokwama.
 
Muda huu mtaa wa Congo Kariakoo l uokoaji unawndelea.

Tuwaombee wnzetu wapone
===

Ghorofa moja katika Mtaa wa Congo na Mchikichi limeporomoka , hadi sasa hali ya majeruhi au vifo haifahamika lakini kwa mujibu wa mashuhuda kulikuwa na watu katika ghorofa hilo

View attachment 3153537

View attachment 3153536
View attachment 3153546
Nmeona maaskari wenye mafunzo ya uokoaji wanajiham na kuogopa kutoa msaada, raia wasiokuwa na mafunzo ndiyo wanapambana, inasikitisha 😔
 
Ni hatari sana.

Tatizo kubwa zaidi lililopo Tanzania ni kwamba Hakuna mamlaka madhubuti za kudhibiti viwango na ubora wa Majengo pamoja na bidhaa zingine mbalimbali.
Watanzania tunaishi kwa nguvu ya Mungu tu peke yake.
Contractor's Registration Board (CRB) iwajibike. Siku ni kijiwe Cha wajanja tu! Majengo yatakuwa na ubora gani wakati Wale mameneja waadilifu walishaondokana Sasa wamebaki wapigaji.
 
Back
Top Bottom